😂😂😂😂😂😂Ngoja wakitoa zile za tamisemi lazima nimuulize njia alizopitia kama alienda kwa bibi tutaenda tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ungemuomba namba ya mjomba wake then ukatupa sisi wengine nao turuke naye