Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nilichokutana
Kijana wa hovyoo ulikua wapi Leo tumekusubiri sana hapa,wenzio wote wamekuja kureport baada ya pepa
Kijana wa hovyoo ulikua wapi Leo tumekusubiri sana hapa,wenzio wote wamekuja kureport baada ya pepa
Nilichokutana nacho leo nikaona nikajipoze bambalaga😂😂😂😂
 
Pepa kwangu imekuwa ya Ovyoh tu mkuu. Hapa najiliwaza na game ya Yanga Huku CBSL. Kuna jirani yangu ye ndo kaanza kulalamika mlemle ndani kabla hatujatoka ety maswali mawili hajafanya.. sijui akinizuga Mimi tu dadeq [emoji851][emoji851]
Aisee, pole sana mkuu, matokeo yatasema ukweli
 
Kumbe Wakandaji hawaruhusu mtu kuvaa saa ndani ya chumba Cha mtihani.. nimeona Leo watu wanavulishwa, hawataki longolongo kabisa[emoji16][emoji16]
Written yangu ya mwisho tulikaguliwa na kile kifaa cha kudetect elecronic devices, hawana utani kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha nicheke kwanza aseeh utumishi ni wachawi mamaeeee
Acha niishie hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nini kimetokea mkuu jobless, ebu tuambie tushirikiane tufurahia au kuhuzunika
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nini kimetokea mkuu jobless, ebu tuambie tushirikiane tufurahia au kuhuzunika
😂😂😂😂😂Kaka nimekutana na hiyo Pepa acha kabisa nadhani watakaofaulu wale waliofanya Pepa ya must mwezi uliopita maana wamekopi huko kwahiyo mzee huko ndani ilikuwa balaa mpaka nikajiuliza au mshahara ni mkubwa sana nini
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nini kimetokea mkuu jobless, ebu tuambie tushirikiane tufurahia au kuhuzunika
255754997347_status_025560ca649b43948cfad5d35aeabbfa.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka nimekutana na hiyo Pepa acha kabisa nadhani watakaofaulu wale waliofanya Pepa ya must mwezi uliopita maana wamekopi huko kwahiyo mzee huko ndani ilikuwa balaa mpaka nikajiuliza au mshahara ni mkubwa sana nini
Aisee, tusubiri zari lolote laweza tokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka nimekutana na hiyo Pepa acha kabisa nadhani watakaofaulu wale waliofanya Pepa ya must mwezi uliopita maana wamekopi huko kwahiyo mzee huko ndani ilikuwa balaa mpaka nikajiuliza au mshahara ni mkubwa sana nini
In God we trust bro ...japo mambo ni mengi muda mchache
 
Back
Top Bottom