Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unaomba kazi ya nn huna njaa Kwamba????
Kuna watu wapo teyari serikalini kwa internal temporary contracts ila tu wanaomba tu huko utumishi kupata permanent contracts kua on the safe side(security)...so huwezi sema huyo mtu ana njaa akati anachoenda kukipata via utumishi(financially) ni kile kile anachokipata sasa.
 
Kuna watu wapo teyari serikalini kwa internal temporary contracts ila tu wanaomba tu huko utumishi kupata permanent contracts kua on the safe side(security)...so huwezi sema huyo mtu ana njaa akati anachoenda kukipata via utumishi(financially) ni kile kile anachokipata sasa.
Njaa hiyo mkuu unaomba kazi ya nn na una Hela Ukiona unaomba kazi ujue Hela Yako haikutoshi
 
Back
Top Bottom