Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahaha! Kaka, hii komenti yako ina mawili, moja ni inawezekana kwa sasa unapata uvivu sana kuingia kwenye uzi wa majobless ndio maana unaweka majibu mafupi fupi, au mbili ni kwa sasa unaongea kwa mamlaka sana kama miongoni mwa watu kutoka Serikalini na Utumishi (Utani kidogo Mkuu, huku tukiendelea kufarijiana).
😂😂😂😂Hahhhh hachelewi kutuambia tukajiajiri
 
Back
Top Bottom