Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mwamba itakuwa kalamba shamvu kaona ajitenge nasi....ila Wizy unachotufanyia sio poa uwe umekanda au umekanda njoo kundini tuendelee kupenaa moyo. Mie nimekandwa zaidi ya mara 3 oral na bado napambana tu sijakata tamaa sema nafasi nazoingiaga oral utakuta inahitaji mtu 1 so ushindani ni mkubwa lakini siwezi kukata tamaa.....na kwenye usaili wa written kwenda oral ndio nimekula NDOIGE za kufa mtu ila bado sijakata tamaa sasa nina miaka 30+ , kama sijapata kazi Serikali nitaendelea kuomba kazi mpaka nitakapofika miaka 45 ambayo ndio umri wa mwisho serikalini.
@wizy kama ameamua kukimbia jukwaa ama kwa kukanda au kukandwa atatutia aibu wanaume tunaopaswa kupambana hadi tone la mwisho jasho.

Tuendelee kumsubiri huenda akaja, asipokuja au aje na utambulisho mpya napo sio mbaya, wengine tuendelee na harakati za kuusaka mrija wa Asali kama kawaida
 
@wizy kama ameamua kukimbia jukwaa ama kwa kukanda au kukandwa atatutia aibu wanaume tunaopaswa kupambana hadi tone la mwisho jasho.

Tuendelee kumsubiri huenda akaja, asipokuja au aje na utambulisho mpya napo sio mbaya, wengine tuendelee na harakati za kuusaka mrija wa Asali kama kawaida
@Mwifwa mjulie hali jamaa Ako wizy tujue alipo au kaenda QATAR kuwasapot Morocco
 
@wizy kama ameamua kukimbia jukwaa ama kwa kukanda au kukandwa atatutia aibu wanaume tunaopaswa kupambana hadi tone la mwisho jasho.

Tuendelee kumsubiri huenda akaja, asipokuja au aje na utambulisho mpya napo sio mbaya, wengine tuendelee na harakati za kuusaka mrija wa Asali kama kawaida
Nakubali mwifwa mapambano mpaka dakka ya mwisho mpk utumbukie kwenye grid ya taifa ya Asali
 
Mwamba itakuwa kalamba shamvu kaona ajitenge nasi....ila Wizy unachotufanyia sio poa uwe umekanda au umekanda njoo kundini tuendelee kupenaa moyo. Mie nimekandwa zaidi ya mara 3 oral na bado napambana tu sijakata tamaa sema nafasi nazoingiaga oral utakuta inahitaji mtu 1 so ushindani ni mkubwa lakini siwezi kukata tamaa.....na kwenye usaili wa written kwenda oral ndio nimekula NDOIGE za kufa mtu ila bado sijakata tamaa sasa nina miaka 30+ , kama sijapata kazi Serikali nitaendelea kuomba kazi mpaka nitakapofika miaka 45 ambayo ndio umri wa mwisho serikalini.
Furha ya kupata kz hua ni kubwa nahisi lzm angekuja kusema huku...nahisi anaugulia mkando...kukandwa ni ktk maisha pia kikubwa uvumilivu t
 
Kuna kila ishara lolote analopitia wizy liwe ni zuri au baya, litakuwa ni kubwa mpaka liko nje ya uwezo wake.

Tuendelee kuvuta subira, askari wetu atarudi.
 
Back
Top Bottom