moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
jaman pengine hata bando limekata,mpeni muda tu@wizy kama ameamua kukimbia jukwaa ama kwa kukanda au kukandwa atatutia aibu wanaume tunaopaswa kupambana hadi tone la mwisho jasho.
Tuendelee kumsubiri huenda akaja, asipokuja au aje na utambulisho mpya napo sio mbaya, wengine tuendelee na harakati za kuusaka mrija wa Asali kama kawaida