Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mambo ya bwana wizy haya jobless aliekula kona [emoji1787][emoji1787]
Ametudissapoint sana, placement yao hatujapata mrejesho wowote, wizy alikuwa tumaini la mrejesho ila ndio ikawa hivyo, haijulikani kilichomkuta na wengine waliopata mrija huenda hawapo humu.

Huwa tunafarijika sana tukipata mrejesho maana inatupa moyo wa subira na kupambana zaidi.
 
Ametudissapoint sana, placement yao hatujapata mrejesho wowote, wizy alikuwa tumaini la mrejesho ila ndio ikawa hivyo, haijulikani kilichomkuta na wengine waliopata mrija huenda hawapo humu.

Huwa tunafarijika sana tukipata mrejesho maana inatupa moyo wa subira na kupambana zaidi.
Wizy alikua na ORCI na ADEM nadhani huenda huu mkeka akawemo.
 
Alhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.

Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.

Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Hongera Sana mkuu kila la kheri kwenye utumishi wa umma

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Maswali ya oral yalikuaje mkuu mweka ukiacha yale ya fani yako husika
Swali ambalo nahisi kwako linaweza apply ni kama ni katika Academic post ni kuhusu Importance of research in teaching na Kwa nini wakuchukue wewe na si wengineo. Mengineo yalikua ni specific kwa fani yangu. Labda lile swali la kwanza kuhusu your background pia litakuhusu
 
Swali ambalo nahisi kwako linaweza apply ni kama ni katika Academic post ni kuhusu Importance of research in teaching na Kwa nini wakuchukue wewe na si wengineo. Mengineo yalikua ni specific kwa fani yangu. Labda lile swali la kwanza kuhusu your background pia litakuhusu
Poa mkuu pamoja
 
Alhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.

Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.

Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Hongera sana kaka
 
Back
Top Bottom