Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea...