Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ety wadau.. hii scale ya salary inarange shilling ngapi kwa anayejua..
 

Attachments

  • Screenshot_20221220-165235_1.jpg
    Screenshot_20221220-165235_1.jpg
    13.6 KB · Views: 13
Great thinkers naomba niwaulize swali tafadhali.

Hivi inawezekana mtu aliyeajiriwa tayari na majeshi yetu ya ulinzi na usalama akaomba nafasi za kazi ambazo zinatangazwa na PSRS kama kada nyingine wanavyofanya?.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi hufanyika kwa njia ya transfers, ambapo muombaji hupaswa kupitisha barua kwa mwajiri

Na hii ikitokea tangazo la kazi huainisha katika vigezo na masharti, vinginevyo, haipaswi kwa muajiriwa kuomba, na hata ikitokea ameomba na kushinda itakua ngum kuingia katika payroll kwa maana ya ku-process cheque no.
 
Mara nyingi hufanyika kwa njia ya transfers, ambapo muombaji hupaswa kupitisha barua kwa mwajiri

Na hii ikitokea tangazo la kazi huainisha katika vigezo na masharti, vinginevyo, haipaswi kwa muajiriwa kuomba, na hata ikitokea ameomba na kushinda itakua ngum kuingia katika payroll kwa maana ya ku-process cheque no.
Asante sana chief kwa madini.

Nimekuelewa vyema sana ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom