Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ukifanya oral ukikaa kanzi data unapangiwa kazi yoyote ambayo taaluma yako unaruhusiwa, unaweza ukafanya oral ya wakili wa SERIKALINI ii unapangiwa baadaye Kama afisa tarafa ii

Duh! Asante sana Mkuu, kama ni hivi basi kuna unafuu mkubwa sana.
 
Ukifanya oral ukikaa kanzi data unapangiwa kazi yoyote ambayo taaluma yako unaruhusiwa, unaweza ukafanya oral ya wakili wa SERIKALINI ii unapangiwa baadaye Kama afisa tarafa ii

Nikadhani utapangiwa kinachofanana na ulichoomba.
 
Ni lazima iwe na uhitaji coz mara zote hawwezi kutangaza kazi na kupitisha saili hizi saili zinamatumizi yake ya pesa pia.. unaweza Kuta Halmashauri Fulani inauhitaji wa nafasi 1 hapa lazima wanyofoe mtu kutoka database

Aisee hapa nimekuelewa vizuri sana Mkuu.
Asante.
 
Kuna kanzidata za aina tatu:
1. Za wahitimu wa Vyuo na Wataalam
2. Za waliofaulu usaili
3. Za waliopangiwa vituo vya kazi.

Najikita kwenye Kanzi data ya waliofaulu usaili ambayo imezungumziwa kwenye kanuni namba 22.

Imelezewa kuwa orodha ya waliofaulu usahili mahojiano na hawakuweza kupata nafasi itatunzwa kwa matumizi ya baadae(1), itatumika kujaza nafasi wazi kulingana na mahitaji ya waajiri(2), endapo hii orodha itakuwa imeisha baada ya watu wote kupangiwa vituo vya kazi au waliopo kanzi data watakuwa hawana sifa au utaalamu anaouhitaji mwajiri, nafasi za ajira zitatangazwa(3),

Kulingana na hivyo vipengele vya kanuni inaonesha kuwa sifa au utaalamu wa mtu aliyepo kanzi data ndio utamuwezesha kupangiwa kituo endapo nafasi yenye kuhitaji sifa au utaalamu alionao itapatikana, hapa sasa ndio pale tunapoona watu wanapangiwa vituo kwenye taasisi tofauti tofauti ambazo hawakuzifanyia usahili.

Kuhusu kuangalia suala la qualifications za vyeti kama unavyotaka hapa mimi naona hili lipo ndani ya sifa au utaalamu uliotajwa kwenye kanuni hii.

Asante sana Prof. Umelitendea haki swali langu.
 
anafanya tusikate tamaa japo tunakata tamaa kulingana na matokeo ya practical na nafasi zenyewe mbili kwa ile oral ya utumishi unajua tu ushafeli make dooh nilizidiwa prac may be mungu abariki nipindue meza oral
 
anafanya tusikate tamaa japo tunakata tamaa kulingana na matokeo ya practical na nafasi zenyewe mbili kwa ile oral ya utumishi unajua tu ushafeli make dooh nilizidiwa prac may be mungu abariki nipindue meza oral
Prac na Oral zote zinachangia marks kwenye ufaulu wa jumla ili upate kazi.

Kwahiyo usipoteze matumaini sana
 
Back
Top Bottom