Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Shukrani mkuu, itakuwa huu muongozo utakuwa upo wa kila kada sio?
Miongozo lazima iwepo.

Kwenye Auditing miongozo ndio nguzo mama.

Ukitaka kuandaa Auditing plan lazima ufuate muongozo, uanzie wapi uishie wapi huku ukigusa content zote zinazohitajika.
 
Ni kweli mm pia nilienda kufanya written ya mhandisi wa maji daraja la pili(NAOT) isivyo bahati sikufanikiwa kufika kwenye oral marks hazikutosha.

Ila nilikuwa najiuliza sana hivi yani mwajiri ni ofisi ya mkaguzi wa serikali nilikuwa natarajia wangehitajika watu wa kada hizo hususani watu wa uchumi lakini posts naona zilikuwa nyingi za kada mbalimbali yani nikawa nashindwa kupata majibu kumbe Auditing ni li package kubwa sana aisee.
Kada nyingine other than Accounting and finance,wanahusika zaidi na VALUE FOR MONEY AUDIT ,kwa mfano Mkaguzi anakagua ubora wa miradi ya ujenzi(Construction projects),hapo itabidi Auditor(Accountant) afanye kazi yake upande wa financials za mambo mbalimbali ya ujenzi kama uhalisia wa gharama za manunuzi ya vifaa,utoaji wa tenda n.k ambapo report yake ataikamilisha kwa kupata technical input ya report ya Engineer/Quantity Surveyor kuhusu kama jengo limejengwa kufuatana na BOQ(Bill of Quantities) ambayo ilikuwa base ya costing ya mradi,pamoja na parameters zingine za ubora wa jengo
 
Nilibahatika kujibu point tano tano walizokuwa wanazitaka na maswali mengine nilijibu point zaidi ya 5 maana nature ya swali lilijumuisha majibu yenye point zaidi ya 5. Kwa hiyo mimi kwenye maswali ya hivyo nilitiririka tu hadi nilipoona point zote zimeisha ndio nikastop na wao wakanipa swali linalofuata.
Hongera sana kwa hatua hiyo. ya kupata ajira.kipekee,nikupongeze kwa kuwatia moyo vijana wenzio kuwa wasichoke kupambana na kuwa-inspire kuwa wakati wa Bwana ukifika kila mtu atapata nafasi
 
Back
Top Bottom