Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Vijana hasa kutoka familia za kimasikini tunalalamika hatuna connection. Hakuna kitu kinaleta amani kama unahitaji ufafanuzi wa inshu fulani, halafu unakumbuka kuna jamaa yako yupo TRA, NAOT, ORCI, IAE, TPDF etc.

Huu uzi ni kama stendi (kituo cha mabasi), watu wako hapa ili kuelekea Ofisi mbali mbali za kila aina.

Kuna watu tunawakubali na kuna watu wanatukubali, kizuri zaidi utu wa mtu au ubaya wake, ukituliza akili unaweza kujidhihirisha hata kwa ID feki.

Sasa swali ni tutafanyaje kutoka kwenye huu uzi, tutengeneze connection za kwenye maisha ya uhalisia?

Tusiishie tu kusaidiana kupata kazi, kuna maisha baada ya wote kuwa kazini.
Umeongea jambo la maana kabisa mkuu. Hili linawezekana kabisa
 
Hongera sana mkuu,umenitia moyo sana kwa ushuhuda wako nimejikuta nafurahi sana kama vile mm ndo ninepata hiyo kazi,na nimepata matumaini mapya kwamba mwaka huu nami ntatoboa, nina received moja lakini pia ntatolea macho kila advert ili received ziongezeke.

Mwaka 2022. nilikua na application 4,Tatu zimefanyiwa usaili zote nilikuwa shortlisted,katika hizo 3 nilibahatika kuhudhuria moja kwa kuwa siku naenda kufanya hiyo moja nyingije pia nilipangwa siku na muda mmoja katika ukumbi mmoja pale CIVE,nikashindwa kupiga pepa mbiki kwa mpigo zile dk 40 zao[emoji23]

Ya tatu sikubahatika kuhudhuria nilitingwa,nimebakiwa na received moja kati ya 4 za mwaka 2022.

Wakuu tupambane mpaka kieleweke mpaka wote umu ndani tuunganishwe katika mrija wa asali wa grid ya Taifa

Huu uzi ni msaada mkubwa sana,unahamasisha,elimisha na kutia moyo sana,elimu tunayoipata umu ni tiba tosha ya kulwmba asali

Once again hongera sana mwifwa,you deserve it,na wadau wote muliobahatika kuunganishwa kwenye mrija wa asali hongereni sana sana sana,hakika mumefanya na sisi tujiamini kwamba inawezekana kutoboa
Ahsante sana mkuu.

Mapambano yaendelee.
 
Hongera sana MLUMBI.

Kutokana na mafanikio yako, Jumuiya imefurahi.

Namimi Nimefurahi.

Bila shaka maandalizi ya kuyeyuka huku ukiweweseka kiwendawazimu kuelekea Dodoma kuitwaa ile barua murua na bojobojo yanaendalea vema.
Hahahahaaa.

Novati Mfalamagoha ananisubiri kwa hamu huko kwenye mitaa yake ya Tambukareli
 
Vijana hasa kutoka familia za kimasikini tunalalamika hatuna connection. Hakuna kitu kinaleta amani kama unahitaji ufafanuzi wa inshu fulani, halafu unakumbuka kuna jamaa yako yupo TRA, NAOT, ORCI, IAE, TPDF etc.

Huu uzi ni kama stendi (kituo cha mabasi), watu wako hapa ili kuelekea Ofisi mbali mbali za kila aina.

Kuna watu tunawakubali na kuna watu wanatukubali, kizuri zaidi utu wa mtu au ubaya wake, ukituliza akili unaweza kujidhihirisha hata kwa ID feki.

Sasa swali ni tutafanyaje kutoka kwenye huu uzi, tutengeneze connection za kwenye maisha ya uhalisia?

Tusiishie tu kusaidiana kupata kazi, kuna maisha baada ya wote kuwa kazini.
Kabisa mkuu[emoji1431]
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Daaah siku online hizi siku 2,naingia website naona placement za NAOT nimekuja mbio huku japo nna muda finyu kuja kuuliza taarifa zako,aisee nimekutana na habari njema sana mwifwa..umeupiga mwingi broo and and am happy for you..Sina shaka kwamba utakua mtumishi mwema kabisa.once again hongera mkuuu umeufikia mrija
 
Daaah siku online hizi siku 2,naingia website naona placement za NAOT nimekuja mbio huku japo nna muda finyu kuja kuuliza taarifa zako,aisee nimekutana na habari njema sana mwifwa..umeupiga mwingi broo and and am happy for you..Sina shaka kwamba utakua mtumishi mwema kabisa.once again hongera mkuuu umeufikia mrija
Kijana kweli uko bize
 
Back
Top Bottom