Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hao sio wengi Kama lile zigo la MDA & LGA.. Ile ilikuwa hatari Dodoma ingefurika mno.

Ila Kuna kitu nimekiona, kutokana na taasisi nyingi kuita usaili mwishoni mwa January So unakuta mtu katokea taasisi tatu na ni sehemu tofautitofauti na mida kama inafanana kimtindo.
Kuna Mashikaji wangu hapa kaitwa;

• Dodoma; Usaili mchujo ni tar 29
January, mda wa pepa ni saa 7
mchana[emoji23] hapa Oral ni kuanzia tarh 2 - 5 ferbuary

• UDSM; Usaili wa mchujo ni tar
28 January saa 1 asubuhi then
Oral ni tar 30 kama atafanikiwa
kufika Oral

• Hapohapo ana Usaili mwingine
wa Oral mojaKwaMoja tar 30
January.(Yaan ni post nyingine inajitegemea, Oral pekee)

Halafu Yuko huko Kanda ya Ziwa sijui atajigawa vipi hapa [emoji23][emoji23]
Hapo inaitwa unyama unyamani....
 
Tayari hizi mkuu TUMEITWA USAILI UDOM CIVE TAR 29 JANUARY SAA 7 MCHANA WRITTEN NA TAR 5 FEB SAA1 ORAL MIGIRO
SHTUKA CHAP. BADO KUPEWA NAMBA TU KWENYE WEB.
Zimetoka kwenye pdf refu lile la kuitwa usaili taasisi mbalimbali.
Hayuko makini huyo mkuu, au ye Huwa anachungulia tu huko received, namba Huwa haziwekwi mapema Ila pdf ukicheck majina yamo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Au sio kaka unawrza ukaomba TGS D ukashangaa umetupiwa PRSS1[emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu hii ni scale ya TARI.. sijajua wanakula sh ngapi pale kwa wenye Degree na Diploma.
Jamaa wekeni basi Mishahara hiyo japo bado hatujaingia kwenye mirija(ni Suala la mda tu) mnakuwa wachoyo Hadi kwenye namba😁
 
Kuna yule Tutorial Assistant mpya wa Chuo Cha Kilimo Nyerere Butiama,, alikuwa akizisubiria sana hizi za TPDC licha ya kupata kazi.. Yuko wape yule mbona kimya...!!!
 
Back
Top Bottom