TUnique
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 286
- 662
Aah kumbe. sawa ngoja nisubir maana nikikumbuka ile minyukano tokea written ilikua sio ya kitoto.Umefaulu Oral (above 50)
Kupata nafasi, hapo sasa inategemea na wenzako walivyofaulu.
Subiria PDF
kwani wanajumlisha maksi zote tokea written au wanaangalia oral tu ?