Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama ambavyo binadamu kwa nyakati tofauti kiimani Mungu amekuwa akitutumia manabii kuja kutuongoza.

Vivyo hivyo na huu uzi, unahistoria ya kupata manabii kwa nyakati tofauti wanaousimamia na kuhakikisha unakuwa active, kisha muda wao ukifika ukingoni wanaondoka na kupatikana wengine katika namna zisizo tarajiwa.

Kwa sasa japo haijawa rasmi, lakini nauona ujio wa nabii Yakunle, ambaye ameibuka kwa njia ya maswali yenye lengo la kuwakilisha ambacho wengine wangetamani kufahamu, huku kwa nyakati tofauti akihakikisha jobless hawaki tamaa kwa kuwapa moyo.
 
Kuzunguka kote huku, lengo ni kuwasalimia.

Pamoja na hilo, nawakumbusha sana ndugu zangu jobless kusudi kubwa kuliko yote la haya mapambano ni kutafuta pesa na uhakika wa kupata pesa wala sio kutafuta ajira.

Ambao wameshaingia kwenye mrija wa asali watanielewa zaidi, baada ya muda mfupi wa kuwepo kazini, kuna mapambano mapya yataibuka, ikiwemo kuona mshahara haukidhi mahitaji pamoja na kuhisi majukumu ya ajira yanakubana kushindwa kupata pesa zaidi. Huwa inafika hatua watu wanatamani wangepata kazi taasisi nyingine zinazolipa zaidi au hata kuwatamani waliojiajiri na wanaingiza pesa nyingi kila kukicha. Ukifanya mchezo unakuwa mwizi. Shida ni kuna taasisi hata ukiamua uwe mwizi, hakuna cha kuiba.

Ninachomaanisha ni wakati unasaka ajira na hata baada ya kuipata, usiache kuufungua ubongo kutazama na fursa nyingine zinazoweza kukufanya upate pesa au kukujenga kuja kuingiza pesa nyingi huko mbeleni.

Tupambanie ajira lakini, ajira zisituzibe macho tukasahau tunachokitafuta hasa ni pesa sio ajira.
 
Kuzunguka kote huku, lengo ni kuwasalimia.

Pamoja na hilo, nawakumbusha sana ndugu zangu jobless kusudi kubwa kuliko yote la haya mapambano ni kutafuta pesa na uhakika wa kupata pesa wala sio kutafuta ajira.

Ambao wameshaingia kwenye mrija wa asali watanielewa zaidi, baada ya muda mfupi wa kuwepo kazini, kuna mapambano mapya yataibuka, ikiwemo kuona mshahara haukidhi mahitaji pamoja na kuhisi majukumu ya ajira yanakubana kushindwa kupata pesa zaidi. Huwa inafika hatua watu wanatamani wangepata kazi taasisi nyingine zinazolipa zaidi au hata kuwatamani waliojiajiri na wanaingiza pesa nyingi kila kukicha. Ukifanya mchezo unakuwa mwizi. Shida ni kuna taasisi hata ukiamua uwe mwizi, hakuna cha kuiba.

Ninachomaanisha ni wakati unasaka ajira na hata baada ya kuipata, usiache kuufungua ubongo kutazama na fursa nyingine zinazoweza kukufanya upate pesa au kukujenga kuja kuingiza pesa nyingi huko mbeleni.

Tupambanie ajira lakini, ajira zisituzibe macho tukasahau tunachokitafuta hasa ni pesa sio ajira.
Umeongea maneno ya hekima sana...
 
Kuzunguka kote huku, lengo ni kuwasalimia.

Pamoja na hilo, nawakumbusha sana ndugu zangu jobless kusudi kubwa kuliko yote la haya mapambano ni kutafuta pesa na uhakika wa kupata pesa wala sio kutafuta ajira.

Ambao wameshaingia kwenye mrija wa asali watanielewa zaidi, baada ya muda mfupi wa kuwepo kazini, kuna mapambano mapya yataibuka, ikiwemo kuona mshahara haukidhi mahitaji pamoja na kuhisi majukumu ya ajira yanakubana kushindwa kupata pesa zaidi. Huwa inafika hatua watu wanatamani wangepata kazi taasisi nyingine zinazolipa zaidi au hata kuwatamani waliojiajiri na wanaingiza pesa nyingi kila kukicha. Ukifanya mchezo unakuwa mwizi. Shida ni kuna taasisi hata ukiamua uwe mwizi, hakuna cha kuiba.

Ninachomaanisha ni wakati unasaka ajira na hata baada ya kuipata, usiache kuufungua ubongo kutazama na fursa nyingine zinazoweza kukufanya upate pesa au kukujenga kuja kuingiza pesa nyingi huko mbeleni.

Tupambanie ajira lakini, ajira zisituzibe macho tukasahau tunachokitafuta hasa ni pesa sio ajira.
upo sahihi na kuna wakati unaweza kujuta baadhi ya sekta kwamba ni bora hata ungejichanganya ukafanya mbilinge zako mtaani

unakuta hali ni afadhali na aliyejiajiri

ndio mana kuna wakati serikali inataman vijana wajikite kwenye kutengeneza fursa binafsi za kuwaingizia kipato na ndizo zinachangia hata ukuaji wa uchumi wa nchi kwa haraka kuliko hata ukichukua kundi kubwa la vijana ukalipatia ajira serikalini
 
Back
Top Bottom