Orosso
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 949
- 2,284
Mkuu, unamaanosha hilo au?Don’t take it too personal walikuwa Wanazinguaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, unamaanosha hilo au?Don’t take it too personal walikuwa Wanazinguaa tu
Okay, but it's better kuwa specific Kuna watu wanaweza kuwa na depression kisa huo mzinguano. Mrija wa asali sio poa[emoji23]Don’t take it too personal walikuwa Wanazinguaa tu
Jamaa alikuwa haelewi mlivyokuwa mnazingua kuhusu mtu kuvaa tie anakuwa kapendeza kuliko bossMkuu, unamaanosha hilo au?
Mkuu unaitupia hilo mimi tena, hii ilikia hoja "yenu", wewe na dada, toa ufafanuzi hapa, "heavy red color tie" ama "mixed red colored" ipi ina nafuu, protocally? 🤪Jamaa alikuwa haelewi mlivyokuwa mnazingua kuhusu mtu kuvaa tie anakuwa kapendeza kuliko boss
Mkuu umenishitua, nikajua tayari kuna jambo huko HESLB
Hahah tie nyekundu tu kiongoziMkuu unaitupia hilo mimi tena, hii ilikia hoja "yenu", wewe na dada, toa ufafanuzi hapa, "heavy red color tie" ama "mixed red colored" ipi ina nafuu, protocally? 🤪
Mjibu mkuu hapo aliyeuliza hili na kuomba ufafanuzi.Hahah tie nyekundu tu kiongozi
Ukilambaa unalambwa na asali hulambiii 😂
Huyo kamaanisha tie yoyote sio nyekunduMjibu mkuu hapo aliyeuliza hili na kuomba ufafanuzi.
Mkuu, mbona kama unamlisha maneno kiaina hivi? Kweli alimaanisha hivi au tie nyekundu?Huyo kamaanisha tie yoyote sio nyekundu
Wewe unaanzaje kukosa kwa mfano mkuu?Yeah, nina kimeo na hawa "Mamlaka ya Mapato Tanzania"
Mkuu acha kabisa, mambo mazito sana haya.Wewe unaanzaje kukosa kwa mfano mkuu?
Wewe mtu mbad mkuuMkuu acha kabisa, mambo mazito sana haya.
Ipo waz cha Msingi Knowledge tuZile paper za Written unaweza ukasoma sana na ukapigwa tu.Ni Ile uwe umepita walimopita wao kutunga maswali.Na unaweza kuona paper nyepesi kumbe Ndio ngumu ikatoa matokeo Hasi.
Kumbe Bhs kaz ipoMbali hivyo, kwenye kushortlist huwa kuna panga la hatari sana pia ila sisi hatujui. Hizi nyomi tunazoziona kuitwa written ni wachache ukilinganisha na walioapply
Kaka dont take it serious, tulikua tunatania, sometimes tunajifariji tunapunguza stress za placement.Kwani kupendeza si ndio usmart huo? Nani alimwambia boss hasipendeze? Naona hakuna correlation baina ya kupendeza, kuvaa tai na kukosa kazi. Naamini kama ipo ipo tu na kama haipo haipo tu. All in all wakati wa Mungu ndio sahihi na sawa regardless what.
Kumbuka pia, Kuna wengine hawajavaa tie na still walipendeza sana kuliko boss, so kuva au kutokuva atie haina uhusiano na kupata au kukosa kazi.
Don't worry about how it will happen, Trust God that it will.[emoji120]
Mwambie huyo utofauti uliopo, kuna kupendeza na kuwa smart(nadhifu) kulingana na matakwa ya kada husika,Kaka dont take it serious, tulikua tunatania, sometimes tunajifariji tunapunguza stress za placement.
Mbona kuhusu hili kila kitu kilielezwa kikawa clear, sema watu wanataka kucomplicate mambo tu na kuwatishia, wengine ndo kazi yao humu[emoji23][emoji23]Okay, but it's better kuwa specific Kuna watu wanaweza kuwa na depression kisa huo mzinguano. Mrija wa asali sio poa[emoji23]
Kina nani hao "Da PGO?"sema watu wanataka kucomplicate mambo tu na kuwatishia, wengine ndo kazi yao humu