Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa wale tunaosubiria placements hebu tupitie hapa;

MDAs & LGA's, TAWA, MPRU, MJNUAT
hizi taasisi zilifanya Oral tar 23Nov - 30 Nov.

TAEC, ARIMO,AAI,RUWASA,SUA,MOCU,TMC
Hizi taasisi zilifanya Oral tar 28Nov -01Dec.

ARU, LITA, OSHA, BASATA, TMDA, LATRA, TARI, TGDC, MWAUSA,WIZARA YA KILIMO. Hizi taasisi zilifanya oral ta 06 - 07Dec.

ASA, hii taasisi ilifanya Ilifanya oral tar 08Dec.

Sasa nyie mliofanya Mwezi wa December2022 na January 2023 tukiwaambia Muwe na subrah muelewe..
Tazama huo utitiri wa taasisi huko juu Toka mwezi November mwishoni hakuna iliyopata placements 💪
28/11/2022 Hapo ongeza OUT nadhani umeisahau
 
Naona jamaa leo kapotea kabisa,, japo maswali yaliwekwa humu jioni ya Leo Ila Huyu Balozi limited Kawa adimu.

Balozi limited njoo utoe ushuhuda wa oral yako leo naamini kati ya yale maswali manne ya darasa kama umepata matatu then moja likakutoa jasho au ukajibu point 1 ya mchongo basi ushaongeza selection for Null kule kwenye App.
Kinachotakiwa kwanza ni kujibu ya darasani ma3 kati ya yale ma4..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaka Mambo ni fire lakini tunaamini Mungu atatenda
we have played to our own part, nimejitahid kadri niwezavyo kuattempty bila kuacha pengo, but tge rest Mungu ndio mpaji.
 
Kwa wale tunaosubiria placements hebu tupitie hapa;

MDAs & LGA's, TAWA, MPRU, MJNUAT
hizi taasisi zilifanya Oral tar 23Nov - 30 Nov.

TAEC, ARIMO,AAI,RUWASA,SUA,MOCU,TMC
Hizi taasisi zilifanya Oral tar 28Nov -01Dec.

ARU, LITA, OSHA, BASATA, TMDA, LATRA, TARI, TGDC, MWAUSA,WIZARA YA KILIMO. Hizi taasisi zilifanya oral ta 06 - 07Dec.

ASA, hii taasisi ilifanya Ilifanya oral tar 08Dec.

Sasa nyie mliofanya Mwezi wa December2022 na January 2023 tukiwaambia Muwe na subrah muelewe..
Tazama huo utitiri wa taasisi huko juu Toka mwezi November mwishoni hakuna iliyopata placements [emoji123]
Mkui unakumbukumbu na hakika unazifatilia....
 
wakuu ishu gani/mood gani inakupa vibe baada ya kupiga oral kuwa angalau panelist nimewa win ama ndoige? mfano mm juzi hpo swali la introduce yourself mkuu wa panel alinambia very good,other questions nikawaona wako bize tu kuandika points haloo imenistua kimtindo,ebu tupeane experience kipi kinakupa vibe ya kusubiria placement ??
 
wakuu ishu gani/mood gani inakupa vibe baada ya kupiga oral kuwa angalau panelist nimewa win ama ndoige? mfano mm juzi hpo swali la introduce yourself mkuu wa panel alinambia very good,other questions nikawaona wako bize tu kuandika points haloo imenistua kimtindo,ebu tupeane experience kipi kinakupa vibe ya kusubiria placement ??
Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?kwa mtazamo wangu wewe ukishapiga interview zao kausha endelea na harakati zingine za maisha,usijipe matumaini kivile wala usijione umejibu vibaya maswali yao.
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,ila nimefaulu.
 
Ila maswali mnayouliza jamani,wakati mwingine mtu unakaa unacheka tu..sasa mtu utajuaje kuwa mood flani ya mtu ina maana flani?hamna hata uzoefu wa interview za private sector wakuu?
Mimi interview ya heslb kuna swali niliambiwa nitaje point tano but me nikataja 3 tu na kuzielezea vizuri na aliyeniuliza lile swali akanikazia kuwa I need 5 points me nikamjibu that is what i have in my mind regarding your question Sir nikaishia hapo,ila nimefaulu.
Don’t be too aggressive bro acha mtu awe free kuexpress what he feels. Hii ni sehemu huru ukiona vinakukera achana navyo. Sasa wewe mbona unatuambia habari zako na unavyoelezea vyako vinatusaidia au kufundisha nn au kuna mtu ushawahi ona yupo negative kwako. Try to man up.
 
Back
Top Bottom