Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Uko sahihi wengi hawawezi kushindana, mimi huwa nasema siku zote kuna taasisi kama NSSF watoa huduma wanaleta sana nyodo ni sababu hawa COMPETE hawajui ni jasho kiasi gani linatoka kufaulu written, Practical na Oral, hawajawahi kulala stand wala kupanda Lori kuhudhuria usaili kwa shuhuda za kina mfwende hapa huwezi tarajia mtu alete nyodo na dharau kazini.

Hawa NSSF and the likes wanatakiwa kufika College of informatics waandike mtihani.
📌🔨 Nakazia mkuu, ndo maana utendaji wao ni 0 Ila kwa waliotoka PSRS wanatoa huduma nzuri Sana Nina ushahidi wakutosha mkuu
 
Namshukuru sana mwenyezimungu hatimaye IT leo kaposti pdf yenye jina langu. ( nimelamba asali).

Nawashukuru wataalamu wangu wote kwa sapoti yenu.

Kauli mbiu ni ileile tusikate tamaa bila shaka wadau wa huu uzi wote tutapata placement kwa idhini ya muumba.

Mwenyezimungu Awaongozeni, awabariki na azifurahishe nyoyo zenu.
huu uzi umebarikiwa hongera sana ndugu yangu, sote tutapata kazi

dbaba hongera pia na wana wotee
sijawasahau kina donvill,marboish electrical wawakumbuke
 
  • kwenye oral unatakiwa ujiamini
  • uwe na angalau knowledge ya maswali unayoulizwa(usiende opposite kabisa na swali), mfano unaweza kuulizwa Utaje components za Financial Statement, anza kwanza kutoka definition ya hicho Kitu (financial statements) halafu uje kwenye components kutoa definition Kuna maksi zake
-
Leo umenipa kitu kikubwa sana
 
Huyu mama amenitoa jalalani, MUNGU amlinde. niliomba sana nipate ajira kwenye utawala wake. sijui ajaye policy na priorities zake zitakuwa ni zipi
Kwa kwel Mwenyezi Mungu aendelee kumuongoza mama Samia, kwa vijana ametufungulia njia, ameturudishia upya matumaini. Tunaiman na raisi wetu mama samia
 
Mtaani ni wa moto.

Nimefanya interview mwezi wa nane ,

Natimiza miezi miwili sasa.

Sijui lini jina langu litatoka.

Nimepambana Mara mbili sikubahatika oral.

Ya tatu nilatusua.

Niliweza kujibu na kufanya kadri.ya uwezo wangu
 
Back
Top Bottom