Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Shuhuda siku hizi zinaenda kinyonge sana, mimi jukumu langu la kutoa pongezi, rate ya kutendewa haki inafifia kila uchao.

Any way, kuna class mate wangu wa Sec na Chuo kalamba Asali leo, Hongera sana kwake.

Mnaoendelea kupambana msikate tamaa, huu moto wa kumshtua IT (zamani tulimuita mzee wa Flash maana alikuwa anatupia PDF usiku mnene jambo ambalo lilionesha anatembea na Flash hadi home[emoji23][emoji23]) kwa kumkaribisha, chapati, supu, wali mbogamboga(enzi za chuo tulikuwa tunakuka kwa buku wali mbogamboga) naona IT kaingia kwenye huu mfumo, amebaki kufurahisha tu. Moto uendelee hivi hivi
Hongera sana kwake mkuu, shuhuda zinatupa nguvu sana tulioko kwenye foleni, shuhuda zinatupa zaidi ujasiri wa kuendelea kusubiria placement, hahaaa😂😂😂 IT ni Mtu wetu sana hajawahi kutuangusha
 
Shuhuda siku hizi zinaenda kinyonge sana, mimi jukumu langu la kutoa pongezi, rate ya kutendewa haki inafifia kila uchao.

Any way, kuna class mate wangu wa Sec na Chuo kalamba Asali leo, Hongera sana kwake.

Mnaoendelea kupambana msikate tamaa, huu moto wa kumshtua IT (zamani tulimuita mzee wa Flash maana alikuwa anatupia PDF usiku mnene jambo ambalo lilionesha anatembea na Flash hadi home[emoji23][emoji23]) kwa kumkaribisha, chapati, supu, wali mbogamboga(enzi za chuo tulikuwa tunakuka kwa buku wali mbogamboga) naona IT kaingia kwenye huu mfumo, amebaki kufurahisha tu. Moto uendelee hivi hivi
Yupo vinzuri...naona anasafisha database
Hongereni mliolamba asali mkawe Watumishi wema
KATIBU HANA BAYA Amefungulia koki... IT hapo ni kupakia majina tu ndani Tank
 
Habarini Wandugu
Mimi ni mgeni humu ila nimevutiwa sana na huu Uzi maana unawaandaa wengi kuanzia kwenye written Hadi kusubiri placement, kama mtafuta fursa Naomba mnipokee tujumuike pamoja wakati tukiwa tunasubiri ugali kupitia PSRS. Kwa ambao tayari mmetokea kwenye mikeka hongereni sana na mkatuwakilishe Vyema
 
Back
Top Bottom