El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
kuna mkeka uko..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku akiniinclude kwenye mkeka atakutana na kontena la pizza..IT ana bifu na wewe ,kasema sikuhizi unamkaribisha ugali na chumvi
wakae na majina yao matako yao.. 🤣 🤣Mi nishachoka wakitoa hayo majina sawa wasipotoa ,Ok
Nikushughulika na mambo mengine .
Ukikaa kuwa waza hawa jamaa utawehuka
Hamna namna
Usitukane bhna..... Mungu hawai wala hawachelewi ipo siku muujiza wako utafka.wakae na majina yao matako yao.. 🤣 🤣
aya bana miss winnie nimekuelewa..Usitukane bhna..... Mungu hawai wala hawachelewi ipo siku muujiza wako utafka.
Hapana hajapanda just ni steps tu unaanza na B1 utaendelea Hadi huko B6 akipanda anaenda TGTS C1Jaman TGTS B1 ni mwalimu wa cheti anaeanza kazi je TGTS B2 Mpaka TGTS6 Inakua ni mwalimu aliepanda daraja ama
Kutoka B1 mpaka B6 inachukua muda gani mkuuHapana hajapanda just ni steps tu unaanza na B1 utaendelea Hadi huko B6 akipanda anaenda TGTS C1
(Kwa uzoefu) Sina uhakika Ila ni ndani ya miaka mitatu kabla ya kupanda kwenda daraja lingine. NB: kama ni ajira mpya itachukua miaka minne.Kutoka B1 mpaka B6 inachukua muda gani mkuu
B1 hadi B2 ni mwaka mmoja kwahiyo kila step ni mwaka mmoja. Hiyo inaitwa Annual Increment. Inakuwa 2% ya basic salary. Kwahiyo mwenye mshahara mkubwa atapata ongezeko kubwa na wenye mshahara mkia wa mbuzi kama huo uliotaja ongezeko lake ni elfu nane hadi tisa hapo kwa mwaka.Kutoka B1 mpaka B6 inachukua muda gani mkuu
SawaB1 hadi B2 ni mwaka mmoja kwahiyo kila step ni mwaka mmoja. Hiyo inaitwa Annual Increment. Inakuwa 2% ya basic salary. Kwahiyo mwenye mshahara mkubwa atapata ongezeko kubwa na wenye mshahara mkia wa mbuzi kama huo uliotaja ongezeko lake ni elfu nane hadi tisa hapo kwa mwaka.
kutoa vyeti haiwezekani hapo cha msingi wapigie simu waulize watakupa maelekezoKwema humu,naomben ushauri kwenye hili..
Mim nimesoma bcom account ila nataka vyeti vyangu vya graduate nivitoe kwnye account yangu ya ajira portal nibakishe Cha O-level tu then niweke vyeti vya driving ili zikija kazi za driving niweze kuapply maana hku kwnye uhasib dah nistress tu kila cku placement zinatoka alaf jina hulioni sas nataka nibadili fani nijikite kwnye udereva...sas nauliza inawezekana nikatoa vyeti vya graduate niweke hv vya driving ili zikija post za udereva niombe?
Poa poa kakakutoa vyeti haiwezekani hapo cha msingi wapigie simu waulize watakupa maelekezo
hauwezi kuvitoa vyeti Mkuu mpaka uandike Barua kwa Katibu Utumishi akiona sababu yako ina mashiko ndio wata delete. Otherwise Dereva naona wana ajiri kwa wingi Halmashauri ambapo hutumi maombi Via Utumishi.Kwema humu,naomben ushauri kwenye hili..
Mim nimesoma bcom account ila nataka vyeti vyangu vya graduate nivitoe kwnye account yangu ya ajira portal nibakishe Cha O-level tu then niweke vyeti vya driving ili zikija kazi za driving niweze kuapply maana hku kwnye uhasib dah nistress tu kila cku placement zinatoka alaf jina hulioni sas nataka nibadili fani nijikite kwnye udereva...sas nauliza inawezekana nikatoa vyeti vya graduate niweke hv vya driving ili zikija post za udereva niombe?
PSRS Wanazidi kumuangusha Mama(rais) Upendo alionao kwa vijana wake anapoona wanatahabikaIT MTU WETU,
JANA TUMEFURAFI NA 5,
LEO TUFURAHI NA PDF,
KATIBU HANA BAYA!!