Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 429
- 1,340
🤣🤣 innojembe hakuamini alipoona Not selected na home kawaambia anaenda pata kazi serikalini ....Nyieee .... Na akipiga hesabu za haraka haraka Mpka zitangazwe tena ni Mwakani mwezi wa 3 kuitwa mwezi wa 9 🤣🤣IT wetu mwingine wa mchongo innojembe hataki kutoa ushirikiano sjui kimemkuta kitu gan..??