Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

IT wetu mwingine wa mchongo innojembe hataki kutoa ushirikiano sjui kimemkuta kitu gan..??
🤣🤣 innojembe hakuamini alipoona Not selected na home kawaambia anaenda pata kazi serikalini ....Nyieee .... Na akipiga hesabu za haraka haraka Mpka zitangazwe tena ni Mwakani mwezi wa 3 kuitwa mwezi wa 9 🤣🤣
 
Hongera sana mkuu[emoji109][emoji109]
Nakutakia mafanikio katika kazi yako, kafanye kazi kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia katende haki.

Pia, kumbuka kutoa Shukrani kwa mafanikio hayo kwan haikuwa rahisi mpaka kufika hapo.
Sawa,
Mkuu ntafanya hivyo.
 
Jamani Hakuna pdf ambayo inaandaliwa ,Pdf zote zipo Mkononi yani ready handed ....Nachoona labda watu wa masijara ndio hawajawapa Go ahead kuwa barua zote za wahusika tayari zimeshasainiwa na Katibu. Ila PDF zote tayari .... Nasisitiza hata likitoka leo ukienda kuchukua barua usikute barua yako usishangae ukaona ilisainiwa mwezi wa 10 .... So tuendelee kuwa watulivu...Kila aliyepo Database atapata kazii... Pdf inayokuja ina Zaidi ya watu 40... na ambazo zinatakiwa zitoke week hii ni 2 ... Na kuna pdf ya Tarehe 11-23 (kuna pdf ya MDA wa mwezi wa kumi). Nasisitiza Taasisi zote ni Asali Zile nzito ambazo ukipewa unakutana na nyuki au mabawa yao it means haijachakachuliwa....
Nakubali
 
[emoji1787][emoji1787] innojembe hakuamini alipoona Not selected na home kawaambia anaenda pata kazi serikalini ....Nyieee .... Na akipiga hesabu za haraka haraka Mpka zitangazwe tena ni Mwakani mwezi wa 3 kuitwa mwezi wa 9 [emoji1787][emoji1787]
Jamaa hawezi kurudi tena overconfidence imemuumbua huyu mwamba.
 
Jamani Hakuna pdf ambayo inaandaliwa ,Pdf zote zipo Mkononi yani ready handed ....Nachoona labda watu wa masijara ndio hawajawapa Go ahead kuwa barua zote za wahusika tayari zimeshasainiwa na Katibu. Ila PDF zote tayari .... Nasisitiza hata likitoka leo ukienda kuchukua barua usikute barua yako usishangae ukaona ilisainiwa mwezi wa 10 .... So tuendelee kuwa watulivu...Kila aliyepo Database atapata kazii... Pdf inayokuja ina Zaidi ya watu 40... na ambazo zinatakiwa zitoke week hii ni 2 ... Na kuna pdf ya Tarehe 11-23 (kuna pdf ya MDA wa mwezi wa kumi). Nasisitiza Taasisi zote ni Asali Zile nzito ambazo ukipewa unakutana na nyuki au mabawa yao it means haijachakachuliwa....
Ila mm nakuona kama muongo muongo Fulani sijui kwanini roho yangu imegoma kukiamini.
 
Wakuu naombeni kwanza tumpumzishe huyu Mkuu wetu INNOJEMBE.
Ni kweli huenda hajafanikiwa kuvuka kwenda hatua nyingine ya usaili lakini namna tunavyomzungumza hapa hata Kama ni jokes lakin Nadhani maumivu ya NOT SELECETED Kila aliyepitia anayajua. Naamini pia imeshajifunza tayari.
Asanten!!!.
 
Ila mm nakuona kama muongo muongo Fulani sijui kwanini roho yangu imegoma kukiamini.
Sheikh Hata Mungu Kuna watu hawamuamini kama yupo, Sembuse Mimi Kiumbe dhaifu na zariri kabisa niaminiwe na kila mtu sheikh wangu???
Ipo hivi, Kuna shuhuda humu Soon , wewe usiamini ila watu wanachomoka Database na hamna mtu wanayejuana nae. Na chonde chonde Kwenye dua zako omba upate asali kabla samia hajatoka kwa kiti maana anayekuja kama sio raisi Muislam basi kazi mnayo. Utawala wote wa kiislam Mambo huwa Afueni...

Mwinyi.
Kikwete.
Samia.
 
Sheikh Hata Mungu Kuna watu hawamuamini kama yupo, Sembuse Mimi Kiumbe dhaifu na zariri kabisa niaminiwe na kila mtu sheikh wangu???
Ipo hivi, Kuna shuhuda humu Soon , wewe usiamini ila watu wanachomoka Database na hamna mtu wanayejuana nae. Na chonde chonde Kwenye dua zako omba upate asali kabla samia hajatoka kwa kiti maana anayekuja kama sio raisi Muislam basi kazi mnayo. Utawala wote wa kiislam Mambo huwa Afueni...

Mwinyi.
Kikwete.
Samia.
Kkbwa Wana tusikate tamaa...

Mambo mazr yanakuja
 
🤣🤣Alinilazimisha kuuliza swali la ziada,nikamjibu ,nope ,no question, akaendelea kufosi kunihoji, still nikamjibu nope
Aliponiuliza Mara ya tatu nikaona anazingua,
Nikamwuliza; what's your name?
Akanijibu;Am Mr Kennedy
Nikamwuliza Tena?are you married?🤣
Akapigwa butwaa😂😂
Panel yote ikaangua kicheko.
Wewe ulikuwa mkorofi! Reaction ya Mr. Kenedy ilikuwaje alijibu
 
Sheikh Hata Mungu Kuna watu hawamuamini kama yupo, Sembuse Mimi Kiumbe dhaifu na zariri kabisa niaminiwe na kila mtu sheikh wangu???
Ipo hivi, Kuna shuhuda humu Soon , wewe usiamini ila watu wanachomoka Database na hamna mtu wanayejuana nae. Na chonde chonde Kwenye dua zako omba upate asali kabla samia hajatoka kwa kiti maana anayekuja kama sio raisi Muislam basi kazi mnayo. Utawala wote wa kiislam Mambo huwa Afueni...

Mwinyi.
Kikwete.
Samia.
Mzee ITpersonel nimekuchek DM kaka hujanijib mkuu
 
Ko mkuu innojembe ndo umegoma kutupa mrejesho?

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_5400.jpg

Itoshe kusema nilifanikiwa ORAL ninachosubiria ni NEEMA za MUNGU na mpka kufika hapa namshukuru MUNGU kaniindoa kwenye laana feki za IT personal na nimebahatika kupass WRITTEN&PRACTICLE
 
[emoji1787][emoji1787] innojembe hakuamini alipoona Not selected na home kawaambia anaenda pata kazi serikalini ....Nyieee .... Na akipiga hesabu za haraka haraka Mpka zitangazwe tena ni Mwakani mwezi wa 3 kuitwa mwezi wa 9 [emoji1787][emoji1787]

Sina mengi ya kusema zaidi ya kusema kauli zako zilinichagiza nipambane[emoji23][emoji23][emoji1488][emoji1488][emoji419]
 
Wakuu naombeni kwanza tumpumzishe huyu Mkuu wetu INNOJEMBE.
Ni kweli huenda hajafanikiwa kuvuka kwenda hatua nyingine ya usaili lakini namna tunavyomzungumza hapa hata Kama ni jokes lakin Nadhani maumivu ya NOT SELECETED Kila aliyepitia anayajua. Naamini pia imeshajifunza tayari.
Asanten!!!.

Soon ntakuja na screenshot ya selected for oral[emoji23]
 
Back
Top Bottom