Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakati sisi tunaajiriwa halmashauri 2014, jamaa yangu mmoja tulisoma nae Pugu A level kisha tukawa wote UDSM ila kozi tofauti. Sasa wote tulipata halmashauri ila yeye hakwenda kumbe kuna contract ya Jhpiego. Sisi tukajiona tumepata maisha tumeingia serikalini. Baada ya miaka 3 ya contract yake kajenga nyumba, kanunua na gari ingawa alimvua mtu. Mkataba ulipoisha kakaa mtaani mwaka na miezi kadhaa kadhaa kadaka mkataba shirika jingine. Sasa hivi nyumba ya pili imebaki vioo/aluminium tu kukamilika na gari ile kabadilisha kachukua Rav4 new model mwaka juzi kamaliza Masters ya Project Management. CV inazidi kupanda. Tulioingia halmshauri nyumba zetu zimeishia njiani either kwenye lenta au imepauliwa ila imebaki pango la popo tena tumefika hapo baada ya kukopa sana na kutop up.
[emoji1787][emoji1787], LGAs ni noma!!! At least upate MDAs ila pawe vizuri napo.
 
Dah Utumishi mtatuuwa aisee, toeni mkeka tujue moja na sio kujipa matumaini hewa daily.
 
Wakuu Nimerudi Online; Nawaombeni Niwaambie Kitu... Na hii ndio itakuwa conclussion yangu Kuhusu Utumishi Sitaongea Tena...

1. Wewe uliyefanya interview Ambaye Ile post hadi leo haijatoa...umefanya mwezi /miezi... Thn upo nyumbani huna kazi....
Cz najua wengine hata akili zime stack kila ukiomba kazi hupati So now ulivyofika oral ukapumua ukasema let kwanza niwait wakitoa kama sipo nianze tena harakati Naongea na wewe....

2. Kwa akili za kawaida Shida ipo Utumishi au shida ipo kwa Taasisi...?..

My Opinion: Sijui shida ipo wapi ,ila nahisi asilimia 75 shida ipo utumishi kwa sababu........

Kama watu washafanya oral utumishi walitakiwa watoe majina ili wajivue lawama ,kule kwenye Taasisi ndio iwe kazi yao sasa , kulaumiwa wakiwasubirisha watu kuingia kazini.

3. Mimi nafikiri utumishi wangeweka standards bwana baada ya oral matokeo yawe ndani ya muda furani.... Cz kwa hichi kinachoendelea Mfano TRA zile interview za watu wa MDA wameenda nao Sambamba hope na leo watu wapo kwenye seminar japo waliitwa kwa Emails... Hii hapa inaleta picture kuwa kama usaili wangesimamia Utumishi hadi leo oral ingekuwa tayari ila kuitwa kazini ingekuwa 0-0.

4. Mwaka jana Raisi samia alivyokuwa anahutubia kuhusu utumishi aliwauliza mnashida gani?? Mbona hadi leo watu washafanya interview miezi miwili na wanasema hamuwapi watu wao???.....huwezi amini ilikiwa saa 4 hadi saa 7 majina karibia elfu 3 watu wakaitwa kazini.....So hope nahisi Utumishi kuna shida sehemu....Ingekuwa hakuna shida wangetoa procedure....Ni heri baada ya Oral umwambie yule mtahiniwa bwana hapa majibu yatatoka baada ya Miezi 5 au 6....Yule mtu inakuwa rahisi kuelewa kuliko hichi...

5. Conclussion;- Utumishi wana mazuri 10000000. Ila hili la kuchelewesha kuita watu usaili &
Placement ....Its a torture...... Maana inafika stage Jobless anavurugwa akili akiomba kazi Private hapati, Huku anasubiria Oral anaamua kujipa hope ngoja niwait ...Huku napo anawaitishwa.
 
Wakuu Nimerudi Online; Nawaombeni Niwaambie Kitu... Na hii ndio itakuwa conclussion yangu Kuhusu Utumishi Sitaongea Tena...

1. Wewe uliyefanya interview Ambaye Ile post hadi leo haijatoa...umefanya mwezi /miezi... Thn upo nyumbani huna kazi....
Cz najua wengine hata akili zime stack kila ukiomba kazi hupati So now ulivyofika oral ukapumua ukasema let kwanza niwait wakitoa kama sipo nianze tena harakati Naongea na wewe....

2. Kwa akili za kawaida Shida ipo Utumishi au shida ipo kwa Taasisi...?..

My Opinion: Sijui shida ipo wapi ,ila nahisi asilimia 75 shida ipo utumishi kwa sababu........

Kama watu washafanya oral utumishi walitakiwa watoe majina ili wajivue lawama ,kule kwenye Taasisi ndio iwe kazi yao sasa , kulaumiwa wakiwasubirisha watu kuingia kazini.

3. Mimi nafikiri utumishi wangeweka standards bwana baada ya oral matokeo yawe ndani ya muda furani.... Cz kwa hichi kinachoendelea Mfano TRA zile interview za watu wa MDA wameenda nao Sambamba hope na leo watu wapo kwenye seminar japo waliitwa kwa Emails... Hii hapa inaleta picture kuwa kama usaili wangesimamia Utumishi hadi leo oral ingekuwa tayari ila kuitwa kazini ingekuwa 0-0.

4. Mwaka jana Raisi samia alivyokuwa anahutubia kuhusu utumishi aliwauliza mnashida gani?? Mbona hadi leo watu washafanya interview miezi miwili na wanasema hamuwapi watu wao???.....huwezi amini ilikiwa saa 4 hadi saa 7 majina karibia elfu 3 watu wakaitwa kazini.....So hope nahisi Utumishi kuna shida sehemu....Ingekuwa hakuna shida wangetoa procedure....Ni heri baada ya Oral umwambie yule mtahiniwa bwana hapa majibu yatatoka baada ya Miezi 5 au 6....Yule mtu inakuwa rahisi kuelewa kuliko hichi...

5. Conclussion;- Utumishi wana mazuri 10000000. Ila hili la kuchelewesha kuita watu usaili &
Placement ....Its a torture...... Maana inafika stage Jobless anavurugwa akili akiomba kazi Private hapati, Huku anasubiria Oral anaamua kujipa hope ngoja niwait ...Huku napo anawaitishwa.
kwenye oral pale wanakwambia majibu ni baada ya week 3
 
sh

shida ipo utumishi kuna mapunga mle yanaleta kiwingu..
Inashangaza Sana, Mfano Leo Mimi Ni Mwenye Nyumba namwambia Dalali Nitafutie Mpangaji Wa hii Nyumba, Yani Eti Dalali Anapata Tayari Mtu wa Kupanga ..... Yani mwenye nyumba anauhitaji wa Mteja wa kupanga, Na mpangaji anaitaka Nyumba...

Ila Mpangaji anazungushwa .... Sasa hapo kwa Akili za kawaida ...Shida mwenye nyumba / Dalali??.

Hapo shida ni dalali, maana alitakiwa ampeleke kwa mwenye nyumba thn wasumbuane wenyewe...
 
Wakuu Nimerudi Online; Nawaombeni Niwaambie Kitu... Na hii ndio itakuwa conclussion yangu Kuhusu Utumishi Sitaongea Tena...

1. Wewe uliyefanya interview Ambaye Ile post hadi leo haijatoa...umefanya mwezi /miezi... Thn upo nyumbani huna kazi....
Cz najua wengine hata akili zime stack kila ukiomba kazi hupati So now ulivyofika oral ukapumua ukasema let kwanza niwait wakitoa kama sipo nianze tena harakati Naongea na wewe....

2. Kwa akili za kawaida Shida ipo Utumishi au shida ipo kwa Taasisi...?..

My Opinion: Sijui shida ipo wapi ,ila nahisi asilimia 75 shida ipo utumishi kwa sababu........

Kama watu washafanya oral utumishi walitakiwa watoe majina ili wajivue lawama ,kule kwenye Taasisi ndio iwe kazi yao sasa , kulaumiwa wakiwasubirisha watu kuingia kazini.

3. Mimi nafikiri utumishi wangeweka standards bwana baada ya oral matokeo yawe ndani ya muda furani.... Cz kwa hichi kinachoendelea Mfano TRA zile interview za watu wa MDA wameenda nao Sambamba hope na leo watu wapo kwenye seminar japo waliitwa kwa Emails... Hii hapa inaleta picture kuwa kama usaili wangesimamia Utumishi hadi leo oral ingekuwa tayari ila kuitwa kazini ingekuwa 0-0.

4. Mwaka jana Raisi samia alivyokuwa anahutubia kuhusu utumishi aliwauliza mnashida gani?? Mbona hadi leo watu washafanya interview miezi miwili na wanasema hamuwapi watu wao???.....huwezi amini ilikiwa saa 4 hadi saa 7 majina karibia elfu 3 watu wakaitwa kazini.....So hope nahisi Utumishi kuna shida sehemu....Ingekuwa hakuna shida wangetoa procedure....Ni heri baada ya Oral umwambie yule mtahiniwa bwana hapa majibu yatatoka baada ya Miezi 5 au 6....Yule mtu inakuwa rahisi kuelewa kuliko hichi...

5. Conclussion;- Utumishi wana mazuri 10000000. Ila hili la kuchelewesha kuita watu usaili &
Placement ....Its a torture...... Maana inafika stage Jobless anavurugwa akili akiomba kazi Private hapati, Huku anasubiria Oral anaamua kujipa hope ngoja niwait ...Huku napo anawaitishwa.
Hakuna zuri kama hakuna placements,.... hayo mazuri yote hayana maana kama hawatoi placements.
 
Inashangaza Sana, Mfano Leo Mimi Ni Mwenye Nyumba namwambia Dalali Nitafutie Mpangaji Wa hii Nyumba, Yani Eti Dalali Anapata Tayari Mtu wa Kupanga ..... Yani mwenye nyumba anauhitaji wa Mteja wa kupanga, Na mpangaji anaitaka Nyumba...

Ila Mpangaji anazungushwa .... Sasa hapo kwa Akili za kawaida ...Shida mwenye nyumba / Dalali??.

Hapo shida ni dalali, maana alitakiwa ampeleke kwa mwenye nyumba thn wasumbuane wenyewe...
Kuna shida somewhere Utumishi....
Inatokea [emoji849] mmoja anasema Database ni mwaka ila anasahau ugonjwa wote unaopelekea hvyo kuchelewa kwa mchakato upo mikononi Mwao Ila....Ipo siku hii dhambi watakuja kukiri mioyoni mwao
 
Hawa watu mbona wengi wao sura zinaonesha age imesogea sana aisee.
Hao walikuwa humo humo TRA wanafanya kwa mkataba wengine wapo hapo mwaka wa 10. Kila wakijaribu PSRS wanaliwa kichwa. Hapa wamepitishwa tu inawezekana hata usaili hawajafanya ndio maana ya Email ili usiweze kufuatilia nani kaitwa nani hajaitwa unakufa kimya kimya
 
Sasa
Kuna shida somewhere Utumishi....
Inatokea [emoji849] mmoja anasema Database ni mwaka ila anasahau ugonjwa wote unaopelekea hvyo kuchelewa kwa mchakato upo mikononi Mwao Ila....Ipo siku hii dhambi watakuja kukiri mioyoni mwao
Sasa mfano kama Mpka leo kuna watu wa MDA & LGA wa mwezi 9 majina hayajatoka sasa hapo alaumiwe mwenye majina ,au ambaye hajapelekewa majina??
 
Back
Top Bottom