Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

But Niwakikishie Pale Connection Hakuna, cz wameamua kujipambanua kufata haki.... Na hawawezi peleka mtu hajui kwenye offc sababu ungeshasikia taasisi zinalalamika wanapelekwa watu weupe kichwani.
 
Mkuu Nipo ,nilikuwa nafanya mizunguko ya kutafuta viwalo kidogo huku Dar es salaam ... Si unajua masuala ya Utumishi nini... Vikaunda suite vya hapa na pale...

Ila uzi unasikitisha sana, yani nahisi hata huyo IT akiona hayo Ma PDF anaendelea kukalia yani... Mtu hana ajira ana discuss salary 🤣🤣 ila okay anyway...

Ila kiukweli lazima ujue sehemu unapoenda , wanakulipaje cz hicho kitu kina affect the whole life yako, unless upate chance ya kuhama....

Na jobless wengi ,akili kama zimewehuka.... Yani hapo ulipo ndio upo nafasi ngumu zaidi ya kuingia kwenye system yani ukiingia kwenye system kuhama ni rahisi kuliko wewe kupata kazi...Maana kuna rundo la wasahiliwa....

Alafu jua kupata kazi ni bahati na wakati ,unaweza ukawa unajua sanaa na still ukasubiri mpka bahati yako ifike na wakati wako....

Hivyo hivyo ,kupata kazi Taasisi still ni bahati cz wale wanachagua tu, Vuta wanavuta...

Hence;- ila hata kama hutaki sehemu ukipangwa usiende fata barua, zikija interview nyengine kafanye ukipangwa tena halmashauri usiende...wewe subiria tu mpka siku upangwe taasisi kama mimi huku.
Bodi ya Mamlaka ya Pamba Musoma sio
 
Niwe Mkweli barua yangu ilikuwa signed siku za karibuni haizidi Week...

Ila kwa majamaa niliokutana nao wao walisainiwa muda kidogo...cz ukishapokea inakuwa imefungwa kwenye bahasha ndogo ,so wanakwambia shuka hapo ufungue uisome... Uhakikishe kama ndio yenyewe... So nilikutana na jamaa kama wawili...wao ilikuwa imesainiwa muda kidogo. Cz ile furaha ya pale kumuonyesha mwenzako ni kitu cha kawaida.
Sawa Mkuu
 
Watu wanaitafta ICT SECURITY OFFICER II kwa PDF ya tareh 20 hawaon ndo maan wana wasiwasi na wewe[emoji3][emoji3]
Boss kwa akili zako za kawaida unaweza ku expouse taarifa za ugali wako ? Kwa wanga....Humu ni kama wachawi tu.... Ni sawa na rafiki yako mliyeachana primary akuulize unafanya kazi wapi ili ajue kiwango cha kukuheshimu....

Elewa nimepata kazi taasisi nzuri mtu yoyote ambaye anbgepata asingetaka kuhama , Town ,taasisi nzuri, hakuna vumbi, salary ndio kama hivyo, unaweza jiendeleza carrier yako As you know kama upo maeneo ya mijini unaweza kusoma bila kuomba ruhusa....Yani umeingia kazini tu na unajiendeleza au kupiga course zako na mtu hajui wanastukuzia umemaliza
 
Amina Mkuu nashkuru, shida mm kada yangu hawajatoa hata mmoja ili watu tuapate matumaini
Nakulewa Mkuu, nakuelewa sana... nimepita hiyo hali hadi ubongo unakuwa affected na mawazo yani muda wote unataka ku refresh page ya utumishi uone hata tu kada yako imetoa ili ujipe tumaini majina yasogee.... Pia kama mtu hajapita hiyo hali kukwambia kuwa na subira unaweza mjibu hivi unajua how do i feel ,yani hiyo hali haielezeki kwa namna ya kawaida....ila ushauri wangu kwako Mkuu vumilia one day yes .... Ni ngumu naelewa kila siku kuwa na tumaini labda kesho.... Kikubwa tafuta kitu kiku keep busy mchana wote atleast ukiwa umerudi unakuwa umechoka huku ukiendelea kusubiria....NB: hakuna hali ngumu itakayodumu milele brothers...
 
Vijana niliwaambia kuwa taasisi kuajiri wenyewe kama wewe ni mtoto wa mkulima jembe la mkono utasubiri sana. TRA kiko wapi?
Watu wameitwa kwa email kuripoti leo kimya kimya. Interview wameitwa kwa pdf, practical kwa pdf, oral kwa pdf, placement kwa EMAIL.
Madogo walioingia top ten written na Practical hawajapata EMAIL inamaana walifeli Oral? Hahahaaa!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki PSRS
Tulishawaambiaga humu wakakaza fuvu.

Sasa muanze piga makelele
 
Kumbe ndo wewe unangata na kupuliza
Boss hata wewe ,ukijihisi umekata tamaa njoo inbox nitakupa mbinu za kusimama tena na kuwa strong💪....Kwanza hesabu baraka alizokupa Mungu, Kuna nyengine ulikaa kwa kusubiria ukafika muda zikakufikia.... Hata kazi, wewe piga interview ...suala la Placement sio lako wala la utumishi, ni la Mungu atakupa tuuu.
 
Back
Top Bottom