Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Mkuu wenyewe ndio wanajua ila hizi kazi za kawaida sizani kama wanafanya hiyo vetting, huku mnatupwa tu mkaanze kazi.Daah hii imekaaje? wanafuatilia mpaka huku jf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wenyewe ndio wanajua ila hizi kazi za kawaida sizani kama wanafanya hiyo vetting, huku mnatupwa tu mkaanze kazi.Daah hii imekaaje? wanafuatilia mpaka huku jf?
Bangi sio nzuriutani umeanza kuwa mwingi humu
Labda kamaanisha pdf la TAMISEMIBangi sio nzuri
Sawa Asante mkuuAndika barua nyingine vizuri then nenda pale kwenye maomb yako uliyotuma utaona kuna sehemu wameendika edit, then utaedit utaweka barua mpya, unaweza fanya hata mara 10 kama umekosea
Sawa Asante mkuu
Acha 2,tusali sana usingiz unakata,nikilog in kwnye email address najikuta naandka ajira [emoji23]...kusubir pdf n stress mnoIT kajifunika blanket sasa hivi na demu wake sisi tunakesha webu.. [emoji1787] [emoji1787]
mambo si mambo aisee.alafu si walisema watakua wanatoa matokeo kwa wakati mbona imekua viceversa.Acha 2,tusali sana usingiz unakata,nikilog in kwnye email address najikuta naandka ajira [emoji23]...kusubir pdf n stress mno
🤣 🤣 mzee wa milioni 1.9 bila makato.Wekeni no. Za simu IT PERSONEL mwezi ujao anavuta ile JIWE yake anaweza akawajalijali wadau[emoji23][emoji23][emoji23]
Labda network unasumbua, sikilizia then check deadline badaye uwapigieKuna mtu namsadia kuomba kazi apa ila kila nkiweka namba yake ya nida wananambia ishatumika je nifanyeje
Wanapokeaga kweli awaLabda network unasumbua, sikilizia then check deadline badaye uwapigie
Wapigie mkuu wanapokea na kutatua tatizoKuna mtu namsadia kuomba kazi apa ila kila nkiweka namba yake ya nida wananambia ishatumika je nifanyeje
Sjui wanakwama wap aiseemambo si mambo aisee.alafu si walisema watakua wanatoa matokeo kwa wakati mbona imekua viceversa.