El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
tutafika na vumbi la kope 🤣 🤣Tutafka tumechoka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutafika na vumbi la kope 🤣 🤣Tutafka tumechoka sana
Kaka kakammmh IT utakuja kunitoa roho.yaani nilishaanza kupiga simu kimbinyiko kumbe hata kada yangu tu haipo..
Pole sanq mkuu, sku yako haijafikammmh IT utakuja kunitoa roho.yaani nilishaanza kupiga simu kimbinyiko kumbe hata kada yangu tu haipo..
ahsante ngoja tuendelee kuskilizia.shida mvi sasa ndio zimegoma kua na subira..Pole sanq mkuu, sku yako haijafika
nambie ndugu yanguKaka kaka
Mamaeee ni mwendo wa makombo halmashauri huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu rais ndio kaja kuharibu kila kitu kwenye mfumo wa ajira yaani serikali ina system mbili za kuajiri.Taasisi zenye asali ya maana zimewekwa reserved kwa watoto wa vigogo zinaajiri kimyakimya alafu watoto wa maskini wanagombania masega utumishi.Bora angechagua system iwe moja tu kama utumishi au taasisi ijulikane moja maana kama mashirika yote yangekua yanapitia utumishi hata ajira zingeongezeka kiasi.
Wanaelekea kwenye uchaguzi.....Wanasimamiaga wenyewe mwanzo mwisho, ni kama ilivyokuwa tra tu
Nakutafuta Sana yesamazaga one my friend zimebaki ngapi,tupe update
Oh wamepitisha lini hii mkuu? Kwahiyo saivi ajira zote anasimamia PSRS?Wanaelekea kwenye uchaguzi.....
Na sheria iliyopitishwa na Bunge Taasisi zote zinapitia PSRS kutangaza ajira....
Ile inshu aliyopewa TRA na Taasisi baadhi walikuwa wanajambo maslah yao kwa watoto wao na umeliona mwenyewe jinsi yalio tokea...
Bunge limepitisha ajira 1000 za TRA lakini Taasisi imepewa kibari cha watu 500 kwann...Ila wangekuwa PSRS wote wangeajiri
Kipindi cha Rais kikwete....Rais Magu akaja kutekeleza tu...Oh wamepitisha lini hii mkuu? Kwahiyo saivi ajira zote anasimamia PSRS?
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Nadhani ni Fabrications zinakuwa zinaandaliwa.....sijui lakiniWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
😀😀😀Halmashauri sio sehemu ya mtu kufanya kazi.Mamaeee ni mwendo wa makombo halmashauri huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na yenyewe wanatoa kwa nyodo as if wanatoa tiketi ya kwenda mbinguni
Hii nchi ina laana ya asili
Kwanini?😀😀😀Halmashauri sio sehemu ya mtu kufanya kazi.
Njaa ni kali sana...
Kasome Mkataba Wa Mwitongohuyu rais ndio kaja kuharibu kila kitu kwenye mfumo wa ajira yaani serikali ina system mbili za kuajiri.Taasisi zenye asali ya maana zimewekwa reserved kwa watoto wa vigogo zinaajiri kimyakimya alafu watoto wa maskini wanagombania masega utumishi.Bora angechagua system iwe moja tu kama utumishi au taasisi ijulikane moja maana kama mashirika yote yangekua yanapitia utumishi hata ajira zingeongezeka kiasi.
Hakuna maisha huku mzee.Kwanini?
Hahahaaaa haya sawa mkuuWanaelekea kwenye uchaguzi.....
Na sheria iliyopitishwa na Bunge Taasisi zote zinapitia PSRS kutangaza ajira....
Ile inshu aliyopewa TRA na Taasisi baadhi walikuwa wanajambo maslah yao kwa watoto wao na umeliona mwenyewe jinsi yalio tokea...
Bunge limepitisha ajira 1000 za TRA lakini Taasisi imepewa kibari cha watu 500 kwann...Ila wangekuwa PSRS wote wangeajiri