Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
🤣🤣🤣😕🤣😕😕naona anakuletea giza 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣😕🤣😕😕naona anakuletea giza 🤣 🤣
Pinacolade yaani pdf zote hizo apeche alolo jaman au unaugomvi na majirani🤣 🤣🤣🤣🤣😕🤣😕😕
Daaa we Acha sjui nmewakosea nn mm jmaniiPinacolade yaani pdf zote hizo apeche alolo jaman au unaugomvi na majirani🤣 🤣
Hongera Sana mkuu kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuNamshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
Hongera sana Mungu akutangulie katika majukumu yako MapyaNamshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
😂😂😂🙌🙌afadhali lile likimulimuli la watu 6 limezima.. 🤣 🤣
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaNamshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
Asante Sana mkuuHongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
Vimetoka?Wadau Leo tuongelee vibali vipya vya ajira
Hongera sana mkuu!Namshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
Asante Mkuu,,,1.Nimepata post direct Mkuu 2.Status kwenye app nilikuaga naangalia kila siku haikuwahii kubadilika Tangia nifanyee oral,ilikuwa tuu SELECTED FOR ORAL INTERVIEWHongera sana mkuu!
Naomba nisaidie kupata majibu ya maswali haya kama hutojali
1. Umepata post direct au kutoka database
2. Vipi status kwenye App ilikuwaje mabadiliko yake kutoka Received mpaka ulipoona jina lako kwenye pdf
Asante sanaAsante Mkuu,,,1.Nimepata post direct Mkuu 2.Status kwenye app nilikuaga naangalia kila siku haikuwahii kubadilika Tangia nifanyee oral,ilikuwa tuu SELECTED FOR ORAL INTERVIEW
Wewe ni team like mzuriMbona mnanitisha kamanda, sijaingia JF muda sana, naona napokea pongezi ila sijui ni za nini hebu nifungulie code.
umeitwa post gani?Habari wakuu
Vipi maswali yao ya UTUMISHI ya mfumo mpya (online test) huwa wanabase wapi
MECHANICAL ENGINEERINGumeitwa post gani?