Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hili ndio tatizo letu vijana wengi, tunapenda shortcut na kuaminishana katika kupata ajira yenye asali ya kutosha. Anza na kile kilicho mbele yako kuna watu wanapambana mtaani kuzipata nafasi za afis mtendaji wa kijiji na baada ya miaka 10 au 15 unakuta ni mkurugenzi wa halmashauri au mkuu wa idara flan. Maisha ni process na kila mmoja anamapito yake, stay positive!!
Kama yupi uyo alikua afisa mtendaji baada ya miaka kumi akawa mkurugenzi wa idara? Usiongee kwa mihemko
 
Daaah aisee tabu sio powa. Kuna watu nawafahamu walilamba asali mwaka jana mwezi wa kumi na mwingine kalamba asali mwaka huu 2024 mwezi wa 2. Wameripoti kazini ila hadi leo wapo kitaa wameambiwa wasubirie watapigiwa simu.
Ni kipengele na hata maokoto yao ni peanuts
 
Back
Top Bottom