Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kinondoni na ilala pengine
Issue sio ugumu.

Muhasibu wa halmashauri anakula mshahara mdogo kuliko wa Taasisi.

Daktari wa jkci ,moi wanalipwa hela ndefu ila wa mwananyamala anakula ndogo.

Engineer wa Tanroads ana mshahara mzuri ila wa halmashauri analipwa kwa manati.

Watu tunachukia Halmashauri kwa vimishahara vyao na maisha ya Miungu watu.
 
Issue sio ugumu.

Muhasibu wa halmashauri anakula mshahara mdogo kuliko wa Taasisi.

Daktari wa jkci ,moi wanalipwa hela ndefu ila wa mwananyamala anakula ndogo.

Engineer wa Tanroads ana mshahara mzuri ila wa halmashauri analipwa kwa manati.

Watu tunachukia Halmashauri kwa vimishahara vyao na maisha ya Miungu watu.
Hivi na wizarani maokoto yao yapoje hawa wa degree..?
 
Back
Top Bottom