Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hata acc hana..
Ninayo mkuu usinisimange🤣🤣🤣 dg alibiiwa simu kapoteza email na password hajui kila nikimuingizia nida ake inasema ishatumika ina maana alikua na akaunt hapo awali ndio msaada kwenu wakongwe tusaidiane ku solve hili
 

Attachments

  • Screenshot_20240720-150510_Chrome.jpg
    Screenshot_20240720-150510_Chrome.jpg
    416.2 KB · Views: 11
Ninayo mkuu usinisimange🤣🤣🤣 dg alibiiwa simu kapoteza email na password hajui kila nikimuingizia nida ake inasema ishatumika ina maana alikua na akaunt hapo awali ndio msaada kwenu wakongwe tusaidiane ku solve hili
Haina noma tukomae tu mkuu
 
Back
Top Bottom