Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera mkuu nami hatimaye wamenikumbuka ktk pdf ya jioni hii. Daaaah msoto ulikuwa mkali sanaa
 
Wapendwa nashukuru sana Mungu hatimae na mimi nimekumbukwa see nilambe asali mimi Ndio nilikosa nafasi za TRC lakini sikuvunjika moyo nilishukuru Mungu kwakweli. Japo nilikosa maneno mengi. Leo nineona nguvu ya kushukuru Mungu na mimi nimo nawatia moyo kufika oral Nijambo jema zaidi nimeona mkono wa mungu kwenye Shirika nono kuliko TRC
 
Wapendwa nashukuru sana Mungu hatimae na mimi nimekumbukwa see nilambe asali mimi Ndio nilikosa nafasi za TRC lakini sikuvunjika moyo nilishukuru Mungu kwakweli. Japo nilikosa maneno mengi. Leo nineona nguvu ya kushukuru Mungu na mimi nimo nawatia moyo kufika oral Nijambo jema zaidi nimeona mkono wa mungu kwenye Shirika nono kuliko TRC
Kama ni shirika la mizinga taifa kule morogoro chini ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa Hongera sana;
 
Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera sana Mkuu!!!!Ukawe mtumishi mwema
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wakuzuia.....
Kachape kazi.....
 
Back
Top Bottom