Ndiyo unabadilisha na kuchagua tena, cha msingi ni kwenda na muda tu...unaweza badilisha jibu ulilokosea kadri uwezavyo.Mkuu
Samahani
Mkuu kama ikitokea umechagua jibu Kisha baadae ukatambua umechagua jibu ambalo sio sahihi JE unaweza kubadilisha na kuchagua tena ?