Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu TANAPA ilikuaje hujatoa uzoefu
😁😁Tanapa ilikua balaa, na katika hizi saili za PSRS kama kuna mtu bado yupo chuo, ajitahidi kutunza sana notice na awe mwepesi wa kuzijua terminology ngumu ngumu maana swali linaweza kuwa laisi saaana ila ukashindwa lijibu kwa kushindwa kulielewa na kuhusu vipimo vya afya 😅 huko ndo kuna balaa kama una matatizo ya magonjwa, hasa magonjwa sugu kama VVU,KANSA N.K, lakini pia wenye makovu makubwa, ambao walishawahi kufanyiwa operesheni, kikubwa wao wanataka mtu aliekamilika na ukaguzi unafanyika mwili mzima, kuhusu placement sijui kikubwa ni kumuomba mwenyezi mungu tu maana huwezi jua wenzagu walijibu kivipi
 
Habari za muda huu wana JF Ningependa kushea nanyi kitu ambacho kitakua msaada kwa wote wanaojiandaa na usaili siku za ivi karibuni maana taratibu zimebadilika ili kuweza kuendana na matakwa ya PSRS nimeona huu uzi JF nikaona ni vyema niwasogezee wapambanaji ili muweze fika nchi ya ahadi ya asali na maziwa [emoji4]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

All the best Champion [emoji1666]

Mungu Awatangulie
 
Kwahiyo sasa hivi utumishi wamesambaa kalibia nchi nzima kwenye usaili huu wa Afya?🤔
Yn mpaka watu wa afya na waalimu wamalize mambo yao, aisee sisi wngn tuwe wapole mpaka mwezi wa 11 ndio tutaanza kukumbukwa.
Na hapo n mpaka pdf za replacement za waalimu na watu wa afya zipite ndio na sisi tukumbukwe.
 
Back
Top Bottom