Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Walimu pdf lao soon linakuj wakae mkao wa kula, kuna dalili kubwa sana kukawa na mapumziko yasiyozidi cku tatu baada ya usaili wa mahojiano kada ya afya kumalizika tarehe 13 sept ,ni mwendo wa kubandika bandua hili nalo liishe watu wadeal na ratiba zingne , taifa lina mambo mengi ya kufanya nackia hata education kuna masomo watakuwa na usaili wa mahojiano tu, kama ilivyokuwa kwa baadhi ya kozi za afya
Hii ID mpya huenda ndo Katibu wa psrs
 
Walimu pdf lao soon linakuj wakae mkao wa kula, kuna dalili kubwa sana kukawa na mapumziko yasiyozidi cku tatu baada ya usaili wa mahojiano kada ya afya kumalizika tarehe 13 sept ,ni mwendo wa kubandika bandua hili nalo liishe watu wadeal na ratiba zingne , taifa lina mambo mengi ya kufanya nackia hata education kuna masomo watakuwa na usaili wa mahojiano tu, kama ilivyokuwa kwa baadhi ya kozi za afya
Itakuwa safi sana
 
IMG-20240909-WA0018.jpg
 
UTUMISHI Tumewakosea nini!!!!
Ahadi zenu mpaka kufika December hazioneshi mafanikio kwa Vijana mmezikalia nafasi hizo zilizopitishwa..
 
Back
Top Bottom