Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hello wafia pdf naona mmekata moto.

Wakimaliza saili za serikali ya mitaa waje walimu.
WajeMDA LGA.

Aisee mwakani kutakuwa na vilio na kusaga damu.

Ila Mimi nadhani nitakuwa kazini.

Inshallah
Nasubir hizo za mda na lga kwa hamu sana
 
Hello wafia pdf naona mmekata moto.

Wakimaliza saili za serikali ya mitaa waje walimu.
WajeMDA LGA.

Aisee mwakani kutakuwa na vilio na kusaga damu.

Ila Mimi nadhani nitakuwa kazini.

Inshallah
Huu Uzi nimejikuta naupenda kufatilia napenda kuuita wazee wa pdf
 
Back
Top Bottom