Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 265
- 458
Mwanangu El Marabioshkila lakheri kaka haikua rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu El Marabioshkila lakheri kaka haikua rahisi
Niaje mkuukila lakheri kaka haikua rahisi
Niaje mkuu
nambie mwanangu naona asali imeshawakifu uko😀😀Mwanangu El Marabiosh
Hata mimi huyu kanoshangaza kila siku tunaimba na watu hapa kuwa hata nafasi ikiwa moja hakikisha unaenda usikose interview….cha msingi ni kuingia oral…aende akalale hata stand ….aache kulialia dunia sio ya watu wanaotafuta visingizio…yani nafasi 28 mtu akache aiseee nitasikitika sanaKafanye interview, mbona siku zote tunaambizana hapa na unajua hilo ila unataka tuanze kukupa nasaha tena.
Itakua walishapata mtu iyoHivi wakuu Kuna post ilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua ni nini? wakati TRC nao wanacall watu kwa interview lakini mpaka Sasa kwa hiyo post ki kimya
Kwa hyo received ina mwaka na mwezi mmoja.Hivi wakuu Kuna post ilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua ni nini? wakati TRC nao wanacall watu kwa interview lakini mpaka Sasa kwa hiyo post ki kimya
Yes Zaid ya mwaka mkuuKwa hyo received ina mwaka na mwezi mmoja.
Hii pdf ya Leo ni zinga la asalikuna pdf la kiraia limetoka shuhuda leteni
vipi umelambaHii pdf ya Leo ni zinga la asali
Aaaah wap nipo naendelea kuperuz mikeka tu siku yangu badovipi umelamba
ngoja tuendelee kusugua bench watajichanganya tu siku 1Aaaah wap nipo naendelea kuperuz mikeka tu siku yangu bado
Saa 1 ni muda kufika tu, baada ya hapo patakuwa na ukaguzi ambao utachukua muda kulingana na idadi ya watu.Interview zina anza saa ngapi maana izo saa 1 walizo weka itanibidi nilale karbu sana [emoji28]
Halafu mnawasumbua UTUMISHI, wanawafanyisha usaili, mkipangiwa vituo vya kazi, hamtaki kwenda, wote mnataka mbaki DSM, acheni hizo aiseehNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Naenda mkuu, siwez kuacha.Hata mimi huyu kanoshangaza kila siku tunaimba na watu hapa kuwa hata nafasi ikiwa moja hakikisha unaenda usikose interview….cha msingi ni kuingia oral…aende akalale hata stand ….aache kulialia dunia sio ya watu wanaotafuta visingizio…yani nafasi 28 mtu akache aiseee nitasikitika sana
Mbona kama nmekuona kweny mkekangoja tuendelee kusugua bench watajichanganya tu siku 1
labda kama umeniona kwenye mkeka wa kukalia🤣Mbona kama nmekuona kweny mkeka