Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna kozi yangu kwa assistant lecturer mpaka sasa vyuo kama 8 vimeshatangaza kazi na hakuna hata mmoja nimewahi kuona anaomba sasa najiuliza si wachukue tutorial assistant tu wakienda huko wasome badae wawe assistant lecturer.
 
Hivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??
Sawa asiende!Ila after years asirudi analia lia baada ya mfumo wa placement kuwa unamtema kila akiomba kazi maana utakuwa unakumbuka kuwa keshapangiwaga.
 
Nilikuwa nasuburia advertisement karibia mwaka mzima..
Leo na nasuburia call for interview inaenda miezi mi nne😀😀
Then nitaanza kusubiria placement tena ya database mwaka mzima😀
Mungu atutie nguvu jobless
Call for interview yaan unaweza ukasahau
Mwezi wa 7
Mwezi wa 8
Mwezi wa 9
Mwezi wa 10
Mwezi wa 11

Unaelekea mwezi wa 12 hakuna kuitwa interview kuna watu wameapply TCRA mwezi wa 10 mwezi wa 11 wamepiga interview hawa wengine kuna nini mboni inachukua muda mrefu kuitwa interview au lundo la watu wanashindwa kuwapanga?
 
Mamlaka ya ajira iliyotangaza nafasi za ajira kada za afya ni sekretarieti za mikoa na mamlaka ya serikali ya mtaa/LGA. Wizara ya afya kama mamlaka ya ajira haikutangaza nafasi za ajira!

Katibu wa Sekretarieti yaAjira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti zaMikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwaWatanzania wenyesifa na uwezo wa kujaza nafasi 9483 kama ilivyoainishwa katikatangazo hili.

NINAVYOFIKIRI: Baada ya usajili, na wizara ya afya ikiwa imeshapata kibali cha kuajiri iliamua kuchukua watu kutoka database! Waliokuwa wamewekwa database baada ya usajili wakajikuta wameokota dodo kwenye mwarobaini!! Wizara ikatoa placement kutoka database na waliokuwa wamefaulu zaidi wakiwa wanasubiria mamlaka zao za ajira zitoe placement na wengine kudhani hawakufaulu!! Kipindi hiki ndo LGA/halmashauri zimepamba moto kutoa placement!! Kwa maneno mengine watu kutoka database wamepangwa MDA/wizara na taasisi zake kama muhimbili, NIMR, nk wakati waliofaulu zaidi wameishia LGA!!
Lakini uzuri waliomba wenyewe hizo za LGAz hivyo hakuna shideeer
 
Niliituma maombi ya kazi ajira portal toka mwezi wa nane mpaka Sasa sijapata majibu yoyote... Ndugu zangu au nitakuwa nimetemwa? Mwenyewe experience na hili anidodose nisije nikawa nasubilia embe kwenye mnazi
 
Niliituma maombi ya kazi ajira portal toka mwezi wa nane mpaka Sasa sijapata majibu yoyote... Ndugu zangu au nitakuwa nimetemwa? Mwenyewe experience na hili anidodose nisije nikawa nasubilia embe kwenye mnazi
Kuwa mvumilivu Mkuu kama ungekuwa umetemwa ungeona notification ambayo ingekuambia nini sababu ya wewe kutemwa ivyo mchakato bado unaendelea
 
Call for interview yaan unaweza ukasahau
Mwezi wa 7
Mwezi wa 8
Mwezi wa 9
Mwezi wa 10
Mwezi wa 11

Unaelekea mwezi wa 12 hakuna kuitwa interview kuna watu wameapply TCRA mwezi wa 10 mwezi wa 11 wamepiga interview hawa wengine kuna nini mboni inachukua muda mrefu kuitwa interview au lundo la watu wanashindwa kuwapanga?
Hawa jamaa nahisi wamzidiwa
 
Sema ingekuwa ukiomba kazi ndani mwezi moja unaitwa kwa interview. Ingekuwa poa sana. Nahisi hata ratio ya jobless ingepungua
 
Sema ingekuwa ukiomba kazi ndani mwezi moja unaitwa kwa interview. Ingekuwa poa sana. Nahisi hata ratio ya jobless ingepungua
Interview zinavuuutwa saaaaana sijui wanafanya michongo gani huko sasa hio interview tu kuitwa utasugua lami sio mchezo
 
Back
Top Bottom