Smiley98
Senior Member
- Jun 21, 2017
- 196
- 409
Ndiyo,ajira ambazo zilikuwa hazina usaili ni zile za Tamisemi tuwakuu hivi na hizi ajira walizotangaza TRA zina interview?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo,ajira ambazo zilikuwa hazina usaili ni zile za Tamisemi tuwakuu hivi na hizi ajira walizotangaza TRA zina interview?
duh na hivi naweza kuomba position mbili tofauti??Ndiyo,ajira ambazo zilikuwa hazina usaili ni zile za Tamisemi tu
Mmh!sina hakika but nahisi kama utaliwa kichwa sababu kwenye tangazo kuna kipengele wamekizungumziaduh na hivi naweza kuomba position mbili tofauti??
Wamesemaje ndugu yanguMmh!sina hakika but nahisi kama utaliwa kichwa sababu kwenye tangazo kuna kipengele wamekizungumzia
Hivi kuna sehemu ya kuweka passport eti?Mmh!sina hakika but nahisi kama utaliwa kichwa sababu kwenye tangazo kuna kipengele wamekizungumzia
Hakuna but unaweza uka merge na cover letterHivi kuna sehemu ya kuweka passport eti?
Hawajakataza kwenye tangazo kama ww umeona kiweke hapaMmh!sina hakika but nahisi kama utaliwa kichwa sababu kwenye tangazo kuna kipengele wamekizungumzia
hawajasema uweke picha,zingatia masharti ya jumla yaani GENERAL CONDITIONSHivi kuna sehemu ya kuweka passport eti?
Kaka samahani kuna position mbili nimeomba mtu mmoja hapo nakuwa nimeharibu kazi aundugu waombaji jitahidi kusoma Tangazo vizuri asa kwenye masharti ya jumla zingatieni sana,msikariri utaratibu wa utumishi mkauleta TRA
Kuomba hakuna shida, ingawa kwa uzoef, wakiita kwa sahil wa mchujo, husisitiza msailiwa kufanya usail kwa post moja tu.Kaka samahani kuna position mbili nimeomba mtu mmoja hapo nakuwa nimeharibu kazi au
RUKSA MKUU HUNA BAYA NA TRA,anza maandalizi mapema utakula shavuKaka samahani kuna position mbili nimeomba mtu mmoja hapo nakuwa nimeharibu kazi au
usifanye mistake hii kwenye barua usiweke picha tafadhaliHakuna but unaweza uka merge na cover letter
Sawausifanye mistake hii kwenye barua usiweke picha tafadhali
Asante sana boss wangu nimeomba nafasi mbili na wamesema maombi yangu yamekubaliwa nipate nafasi moja nikajilie marupurupu kama mpumbavuRUKSA MKUU HUNA BAYA NA TRA,anza maandalizi mapema utakula shavu
Asante sna ndugu Mungu anisaidie waniite kwenye usahili walau niwe na kahistoria ka kushiriki usahili wa TRAKuomba hakuna shida, ingawa kwa uzoef, wakiita kwa sahil wa mchujo, husisitiza msailiwa kufanya usail kwa post moja tu.
Ndio mkuu zinazo lazima mikando ni zaid utumishiwakuu hivi na hizi ajira walizotangaza TRA zina interview?
Ovyo kabisa.hii portal ya tra changamoto
Mkuu wewe si umesoma afya mambo ya LabAsante sna ndugu Mungu anisaidie waniite kwenye usahili walau niwe na kahistoria ka kushiriki usahili wa TRA
ndio nimeona nafas ya lab technician ii na lab officerMkuu wewe si umesoma afya mambo ya Lab
Vp kuna kipengele cha afya ?