Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna ambao tuliomba position mbili, tokea mwezi wa 8 mwaka jana lakini bado hatuja itwa kwenye interview. Je, tutakuwa not shortlisted? Naomba majibu
Wewe mwezi wa 8 mwaka jana km uliomba mpaka leo hujaitwa interview hesabu hizo kazi tayari wameshapewa wa kupenyezwa huko wewe cha kufanya subiri ukafanye interview km ushahidi kisha basi endelea na shughuli zako za udereva bodaboda
 
  • Thanks
Reactions: kpi
Huu ni mfano hai kabisa alafu kesho mtu anaanza kusema bila connection utoboi kumbe sisi wenyewe tunafanya vitu ambavyo vinatutoa kwenye mchezo mapema
Km tangu mwezi wa 8 mwaka jana umetuma maombi na hujaitwa interview mpaka hivi leo hesabu kwamba connection ina nguvu zile nafasi za mwezi wa 8 watu wenye connection wameshapewa huko wewe endelea kukodoa macho tu hapo
 
Basi nishaharibu kazi nimejaribu kucancel application moja imeshindikana
Wapigie simu wameweka namba zao pale huduma kwa wateja in case of technical issues waambie umekosea ukajaza mara 2 moja waifute la sivyo utachezea fimbo yaan utachapwa
 
Vipi kama ume apply mbili tu. Hapo utakuwa NOT SHORTLISTED?
Multiple selections not shortlisted omba moja usitake kuomba nyingi interview siku 1 watakupanga ipi wakuache ipi huoni unawachanganya unataka wakuchagulie wao sababu una uwezo wa kuingia kwenye kazi zaidi ya 1? Wewe sawa unaweza kuingia kwenye nafasi zaidi ya 1 chagua 1 zingine waachie wengine usichague kila sehemu utachezea fimbo tutakuchapa
 
Km tangu mwezi wa 8 mwaka jana umetuma maombi na hujaitwa interview mpaka hivi leo hesabu kwamba connection ina nguvu zile nafasi za mwezi wa 8 watu wenye connection wameshapewa huko wewe endelea kukodoa macho tu hapo
Usimtishe mpambanaji ataitwa wala asijali kuna watu waliomba LGA na MDA may 2022 wakaitwa january 2023 hakuna uhuni unafanyika kila mwenye haki ya kuitwa ataitwa na kila atakayefaulu atapata ajira au kuhifadhiwa kanzi data.
 
Mimi nawaza hivi hizi T.R.A ,, inamaana siku ya usahili wotee tunaenda kufanyia Dar au huwa wanaweka usahili kwa kanda ??
 
Back
Top Bottom