Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huu uzi nakumbuka 2021 hivi kwanza mwifa yupo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].


Utumishi walichonifanya gaddem shit


At last Jeshi likaniokoa


Kila mtu ana wakati wake
Uzi ni wa 2022 mkuu.

Umepotelea kwa Wajeda sana, au wanawakazia kuvinjari online[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wale wa TRA.

Je, vyeti vyote unaweka kwenye PDF moja na ku upload sehemu Qualifications?
 
sio kwamba ndio zile za utumishi wameamua kupost wenyewe tu.kwan walishawahi kutoa tangazo kwenye portal yao watu wakaaply uko??
Hapana, hizi walitangaza TAA wenyewe deadline ilikua december 25, 2024.
Maombi yalikua yanatumwa kwa e-mail ya director general moja kwa moja, hazikupita Utumishi hizi.
 
Back
Top Bottom