zoga
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 779
- 1,527
๐๐๐๐๐.....Tupo hatua 10 nyumaMaboresho nimakubwa Sana PSRS ata apps Yao haifunguki saiv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐.....Tupo hatua 10 nyumaMaboresho nimakubwa Sana PSRS ata apps Yao haifunguki saiv
ok hapo sawa maana nimeshangaa kwenye ajira portal hakuna kituHapana, hizi walitangaza TAA wenyewe deadline ilikua december 25, 2024.
Maombi yalikua yanatumwa kwa e-mail ya director general moja kwa moja, hazikupita Utumishi hizi.
Daaah kwahiyo wale tuliomba via utumishi tuwe wapoleok hapo sawa maana nimeshangaa kwenye ajira portal hakuna kitu
Kwan transcript nazo pia tunaatach? Kwenye conditions TRA si wamesema transcript hazitakiw au...naomba mnieleweshe hapo wanduguTranscript nayo ina sehemu yake au ni pamoja na Academic Certificate ?
Nilimaliza baadaye nikaenda kozi mambo yalikuwa mengi now nimepangiwa town sisimamii tena hawa ndugu zetu sishindi shambani na wafungwa mambo mukideeeUzi ni wa 2022 mkuu.
Umepotelea kwa Wajeda sana, au wanawakazia kuvinjari online[emoji1][emoji1][emoji1]
Daaah safari hii walimu na watu wa afya wasipopata kazi huu mwaka watalaamu balaaNaona ajira za walimu tena zimetanagazwa .. sijui sisi wa MDA & LGA tutapiga kabla au sijui watatupotezea tena dah
Walimu na afya kweli ni kipaumbeleDaaah safari hii walimu na watu wa afya wasipopata kazi huu mwaka watalaamu balaa
kwenye kila pdf la placement za kazi kwa walimu lazima ukutane na wataalamu wa afya walioitwa kazini.
Mno afya wanaitwa kila siku jamaa hadi unawaonea wivuWalimu na afya kweli ni kipaumbele
Yan ndio ninachokiona hapo kaka yan jamaa wakifanya hivyo watakuwa hawajafanya haki kabisa .. ila yote yanawezekana tusubiri tuHizi za waalimu zilizo tangazwa zinaeza kuwahi kufanywa usaili wale wa Accoun mdas tukabaki tena
kwa TRA ata mimi sijaona Bilashaka huyo mwamba anaongelea PSRSMkuuu mimi sijaona pale unaweka wapi io transcript
mkuu huyo kaweka psrs na wengine wanaongelea TRA hapo ndipo mnapotofautianaMkuu
mbona mimi hiyo sehemu ya kuwe transcript haipo ?? Au huu ni mfumo mwingine ??
TRA kila cheti na sehemu yake kulingana elimu ulipo graduateWale wa TRA.
Je, vyeti vyote unaweka kwenye PDF moja na ku upload sehemu Qualifications?
Hongera sana mkuu, hapo patamu sasaNilimaliza baadaye nikaenda kozi mambo yalikuwa mengi now nimepangiwa town sisimamii tena hawa ndugu zetu sishindi shambani na wafungwa mambo mukideee
Mhm..unaviwekaje mkuu?TRA kila cheti na sehemu yake kulingana elimu ulipo graduate
Mbona hakuna hiyo option?Mkuu kila chet sehem yake ukimaliza kuweka chuo add level ya nyingine mpaka yawisho O LEVEL