Mmmmh🤐Jamani Mbona kimya sana, au hamkuwepo kwenye Mikando ya BOT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh🤐Jamani Mbona kimya sana, au hamkuwepo kwenye Mikando ya BOT.
naskia kabla ya interviw watu walipewa supu ya kuku mayai sita sita na sambusa nane pamoja na burgerJamani Mbona kimya sana, au hamkuwepo kwenye Mikando ya BOT.
Eee bwna ee watu walikula minyamanaskia kabla ya interviw watu walipewa supu ya kuku mayai sita sita na sambusa nane pamoja na burger
naskia kabla ya interviw watu walipewa supu ya kuku mayai sita sita na sambusa nane pamoja na burger
Aaah wap labda hatua za mbele huko ila Mikando ilitembeanaskia kabla ya interviw watu walipewa supu ya kuku mayai sita sita na sambusa nane pamoja na burger
Mkuu hongera kwanza kwa kufanya mtihan mtihan ni mtihan tu kikubwa uongie oral basiAaah wap labda hatua za mbele huko ila Mikando ilitembea
Psrs pia waanze kutupa hata chai tu jaman . Sio unakandwa na una njaa.naskia kabla ya interviw watu walipewa supu ya kuku mayai sita sita na sambusa nane pamoja na burger
Oya uko kwako bado hawaja shortlist kakaAaah ila utumishi wanajua kusubilisha aisee 🙌🙌🙌
yaani mnasubirishwa kotekote interview placement mpaka kwenye matangazo🤣🤣Aaah ila utumishi wanajua kusubilisha aisee 🙌🙌🙌
Ndio mkuu vip kwako ukooOya uko kwako bado hawaja shortlist kaka
Oyaa wee niombeeni nipate placement pale utumishi wanangu wote kitaa hakuna kusubilishana namna hii najua changamotoyaani mnasubirishwa kotekote interview placement mpaka kwenye matangazo🤣🤣
Au jobless tuandamane pale utumishi kushikiza mchakato uwe wa haraka na wa haki kwa kila joblessyaani imefika kipindi shortlisted imekua mali 🤣 🤣
polisi kuna virungu vinaliwa na mchwa tu havina kaziAu jobless tuandamane pale utumishi kushikiza mchakato uwe wa haraka na wa haki kwa kila jobless
Mkuuu afu wewe upo kitambo sana humu wenzio kina mwifwa kyagata pinacolade wote washalamba asali ujuepolisi kuna virungu vinaliwa na mchwa tu havina kazie
Huku bado nahisi wiki watafanya jamboNdio mkuu vip kwako ukoo
wee kwani wa juziMkuuu afu wewe upo kitambo sana humu wenzio kina mwifwa kyagata pinacolade wote washalamba asali ujue
We Acha tu kaka nyakati zinabadilika sana 😀 nakumbuka 2023 watu walikuwa nawakuwa shortlisted kila siku .mambo yamebadilika sanayaani imefika kipindi shortlisted imekua mali 🤣 🤣
Ndio mkuu 2023wee kwani wa juzi