Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kweli kuna dalili wakaitwa watu interview tena, kwa ajira zilizotangazwa January 8 mwaka huu
Kama ni ajira za January hapo subiri mpk mwezi wa tano mpk wa sita . Maana wapo wa mwezi wa nane hawajaitwa mpaka sasa
 
Kama ni ajira za January hapo subiri mpk mwezi wa tano mpk wa sita . Maana wapo wa mwezi wa nane hawajaitwa mpaka sasa
Ila utumishi wana fanya mzaha sana na maisha ya watu usahili miezi karibia nane watu wapo tu wana subiria kuitwa na wao tu..🤔
 
Yani hapo kuna interview nyingi sana ziko pending.. sasa huwa najiuliza hizi ajira wanazotangaza kipindi hiki watafanya interview lini au mpk mwakani
Hawapo serious na wanachofanya, mkeka wenyewe wanatoa kidogokidogo, si watafika mpk mwakan ssa kwa hali hiyo
 
Back
Top Bottom