El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
23usaili kwa walimu ratiba inamalizika tarehe ngapiii wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
23usaili kwa walimu ratiba inamalizika tarehe ngapiii wadau
Kweli kuna dalili wakaitwa watu interview tena, kwa ajira zilizotangazwa January 8 mwaka huu
Kama ni ajira za January hapo subiri mpk mwezi wa tano mpk wa sita . Maana wapo wa mwezi wa nane hawajaitwa mpaka sasaKweli kuna dalili wakaitwa watu interview tena, kwa ajira zilizotangazwa January 8 mwaka huu
24/02/2025usaili kwa walimu ratiba inamalizika tarehe ngapiii wadau
hizo itakua kwenye november hivi..Kweli kuna dalili wakaitwa watu interview tena, kwa ajira zilizotangazwa January 8 mwaka huu
Ila utumishi wana fanya mzaha sana na maisha ya watu usahili miezi karibia nane watu wapo tu wana subiria kuitwa na wao tu..🤔Kama ni ajira za January hapo subiri mpk mwezi wa tano mpk wa sita . Maana wapo wa mwezi wa nane hawajaitwa mpaka sasa
Yani hapo kuna interview nyingi sana ziko pending.. sasa huwa najiuliza hizi ajira wanazotangaza kipindi hiki watafanya interview lini au mpk mwakaniIla utumishi wana fanya mzaha sana na maisha ya watu usahili miezi karibia nane watu wapo tu wana subiria kuitwa na wao tu..🤔
Kwa kufikia mwakani hilo halina ubishi mkuu, maana mlolongo kule ni mrefu sana mpaka sasa.Yani hapo kuna interview nyingi sana ziko pending.. sasa huwa najiuliza hizi ajira wanazotangaza kipindi hiki watafanya interview lini au mpk mwakani
Hawapo serious na wanachofanya, mkeka wenyewe wanatoa kidogokidogo, si watafika mpk mwakan ssa kwa hali hiyoYani hapo kuna interview nyingi sana ziko pending.. sasa huwa najiuliza hizi ajira wanazotangaza kipindi hiki watafanya interview lini au mpk mwakani
Wote wameshaajiriwaIzo pdf za siku izi mbona hamna shuhuda humu wakuu?
ila kwelTulien kila mtu ataitwa
Watu wanauchuna siku hizi 😄Izo pdf za siku izi mbona hamna shuhuda humu wakuu?
Na wapishi pia mkuuMaafisa mifugo mnaitwa huko mkaongeze received.
Ajira zinqmwagika tuNa wapishi pia mkuu