GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Another Moron.Dar yenyewe wana struggle kujaza watu 60k taifa, sembuse laki Dodoma 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Another Moron.Dar yenyewe wana struggle kujaza watu 60k taifa, sembuse laki Dodoma 🤣
Dar yenyewe wana struggle kujaza watu 60k taifa, sembuse laki Dodoma
nani alikukaririsha hili neno, kiasi kwamba hulisahau, basha ako wakati akikupumulia au?, inaelekea alikuwa na mtarimbo wa haja maana umelikariri kwelikweli.Nincompoop.
🤣Hivi Bado Hayati mnamwandama tu🤣
Dodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasara
Like you chimpanzee head [emoji23][emoji23]Only Narrow minded person can say that.
Inasikitisha. Hii ni hali ya kuudhalilisha mji mkuu tu.Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu (Watazamaji) Laki Moja (100,000) na leo Awamu ya Rais Samia (ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji (Watu) Elfu Thelasini (30,000) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Tunataka tuendelee kuutumia uwanja wa CCM, mtake msitake habari ni hiyo.Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu (Watazamaji) Laki Moja (100,000) na leo Awamu ya Rais Samia (ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji (Watu) Elfu Thelasini (30,000) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Dodoma ni Makao Makuu ya nchi. Huu mkoa haulinganishwi na mkoa mwingine, kenge wewe!Kwa nini Dodoma na sii Arusha au Mbeya au Tanga ? why put all eggs in one busket?
Dodoma hakuna watu Wala mechi ya kujaza uwanja wa wato 100000 Magu alikurupukaNajua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu (Watazamaji) Laki Moja (100,000) na leo Awamu ya Rais Samia (ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji (Watu) Elfu Thelasini (30,000) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Wewe umasema mji wa hovyo wa vumbi na watu maskini hauna hadhi hoyo na JPM alushakufaDodoma ni Makao Makuu ya nchi. Huu mkoa haulinganishwi na mkoa mwingine, kenge wewe!