AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.
Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.
Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi.
Serikali ya mama Samia inabidi iingilie kati suala hili, wazazi pekee hawawezi.
Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.
Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi.
Serikali ya mama Samia inabidi iingilie kati suala hili, wazazi pekee hawawezi.