Kwanini vijana wa sasa mnapenda kulelewa na Wanawake wakubwa? Wazazi kuna walakini kwenye malezi

Kwanini vijana wa sasa mnapenda kulelewa na Wanawake wakubwa? Wazazi kuna walakini kwenye malezi

AmKATRINA

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
882
Reaction score
2,044
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.

Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.

Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi.

Serikali ya mama Samia inabidi iingilie kati suala hili, wazazi pekee hawawezi.
 
Shangazi anakupa free papuchi .

Bado Shangazi wa watu anakupa Tumizi.

Mashangazi ni masafiiiiii, huwezi Kuta Papuchi ya Shangazi Ina fangasi, au magonjwa yanayoifanya inuke .

Shangazi kitu kimoja Cha uhakika kama ameamua kukutunuku Papuchi, basi niwewe pekeako utakua unaitumia papuchi yake unlike hivi vipanya road vyakike, unakua kanaliwa na Jamaa wa Chuo, kanaliwa na Muhuni kitaa, kanaliwa na sponsa, kanaliwa na Boda,.....matokeo yake K inanukaaaaa balaa.

Kwa Ufupi, Shangazi muendelee kuwepo Maisha marefu.
 
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu...
Mmomonyoko wa maadili na umaskini.

Wasanii wanachangia ku speed hili jambo kwa kuonyesha kuwa it okay, wakati ni dhambi kubwa sana kutoka na mtu mzima ili utunzwe. Maisha magumu nayo yanachangia

Ni kujiuza indirect
 
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.

Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.

Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi.

Serikali ya mama Samia inabidi iingilie kati suala hili, wazazi pekee hawawezi.
Cost za ku-mantain mahusiano zimekua kubwa sana endapo kijana wa kiume akiamua kuwa katika mahusiano na binti wa age yake.
Mabinti wanajiuza indirectly kupitia mahusiano ya kimapenzi
 
Shangazi anakupa free papuchi .

Bado Shangazi wa watu anakupa Tumizi.

Mashangazi ni masafiiiiii, huwezi Kuta Papuchi ya Shangazi Ina fangasi, au magonjwa yanayoifanya inuke .

Shangazi kitu kimoja Cha uhakika kama ameamua kukutunuku Papuchi, basi niwewe pekeako utakua unaitumia papuchi yake unlike hivi vipanya road vyakike, unakua kanaliwa na Jamaa wa Chuo, kanaliwa na Muhuni kitaa, kanaliwa na sponsa, kanaliwa na Boda,.....matokeo yake K inanukaaaaa balaa.

Kwa Ufupi, Shangazi muendelee kuwepo Maisha marefu.
Long live mashangazi
 
Shangazi anakupa free papuchi .

Bado Shangazi wa watu anakupa Tumizi.

Mashangazi ni masafiiiiii, huwezi Kuta Papuchi ya Shangazi Ina fangasi, au magonjwa yanayoifanya inuke .

Shangazi kitu kimoja Cha uhakika kama ameamua kukutunuku Papuchi, basi niwewe pekeako utakua unaitumia papuchi yake unlike hivi vipanya road vyakike, unakua kanaliwa na Jamaa wa Chuo, kanaliwa na Muhuni kitaa, kanaliwa na sponsa, kanaliwa na Boda,.....matokeo yake K inanukaaaaa balaa.

Kwa Ufupi, Shangazi muendelee kuwepo Maisha marefu.
Una maana mashangazi for life? Ndugu mbinguni, una kosa la kujibu😀😀😀
 
Miezi ya hivi karibuni nlikuwa Dar kikazi..jamaa zangu wakanipeleka kitambaa cheupe kupitisha mda...
Nikaonyeshwa meza ya vijana wa kiume wameweka pozi nao wanatega mashangazi yenye hela na wanunuliwe,afu meza ya nyuma kuna mashoga kama wanne..nao wana meza yao..I felt very bad.. Serikali inabidi ifanye jambo..
 
Miezi ya hivi karibuni nlikuwa Dar kikazi..jamaa zangu wakanipeleka kitambaa cheupe kupitisha mda...
Nikaonyeshwa meza ya vijana wa kiume wameweka pozi nao wanatega mashangazi yenye hela na wanunuliwe,afu meza ya nyuma kuna mashoga kama wanne..nao wana meza yao..I felt very bad.. Serikali inabidi ifanye jambo..
Duh ulijuaje wanatega mashangazi.?
 
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.

Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.

Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi.

Serikali ya mama Samia inabidi iingilie kati suala hili, wazazi pekee hawawezi.
Hua tunafata utelezi tu. utamu tunao wenyewe.
 
Unakuta shangazi mmoja kwenye akaunti anabilion mbili za matumizi binafsi hazina kazi ndio mana soko la mamarioo linazidi kukuwa
 
Miezi ya hivi karibuni nlikuwa Dar kikazi..jamaa zangu wakanipeleka kitambaa cheupe kupitisha mda...
Nikaonyeshwa meza ya vijana wa kiume wameweka pozi nao wanatega mashangazi yenye hela na wanunuliwe,afu meza ya nyuma kuna mashoga kama wanne..nao wana meza yao..I felt very bad.. Serikali inabidi ifanye jambo..
Kumekuchaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom