Kwanini vijana wengi wa CCM wanatetea siasa chafu za Sabaya?

Kwanini vijana wengi wa CCM wanatetea siasa chafu za Sabaya?

Vijana wengi hasa wasio na ajira waliingia CCM sio kwa kukipenda chama bali kutafuta ridhiki na ajira za upendeleo ndani ya chama na serikali, huku role models wao wakubwa wakiwa akina Makonda, Polepole, Hapi, Mwigulu, Gambo, Sabaya, Murro, Shaka, Musiba, Habibu na wengine wengi.

Mienendo na tabia ya uongozi wa vijana niliowataja ilijulikana wazi ambayo ilikuwa ubabe, jeuri, fitina, dhulma, utekaji, mauaji nk, walitumia mbinu hizi hasa kuwadhalilisha wapinzani, wakosoaji na wafanyabiashara, wakajiona wao ndio Tanzania na Tanzania ni wao, wakasahau kuwa aliyewapa madaraka na jeuri hizo hana garantii na Mungu.

Kipindi cha utawala wa Mwendazake ili uteuliwe sifa kuu mojawapo ilikuwa ubabe, roho mbaya, matusi, jeuri, ilifikia wakati mwana CCM au polisi akimvunja mguu mpinzani anapongezwa pengine kupandishwa cheo.

Vijana wengi wa CCM wakaanza kuiga matendo na vituko vya akina Sabaya & Co, siasa chafu ambazo uchafu wake hata waonyeshwe kwenye video wanajifanya hawauoni, wakaiga vituko hivi ili waonekane wawafurahishe wakubwa zao wateuliwe, leo wameanza kukata tamaa baada ya kuona Mama hana siasa hizo chafu.

Baada ya kugundua hilo wanachofanya sasa ni kuwatetea role models wao wanaotenguliwa ambao walikuwa wateule wa mwendazake (Bashiru, Polepole, Biswalo, Sabaya), wameanza kumlaumu Mama wakitumia ilani ya chama kama ngao yao kuwa mama anaonyesha kushindwa kuitekeleza, huku lengo kuu ni kutaka kumshinikiza mama aendeleze ubabe wa mtangulizi wake siasa ambazo walitegemea kuja kunufaika nazo.

CCM Mwacheni Mama afanye kazi msimshinikize zamu ya Mwendazake imekwisha. Kazi iendelee.
Na Arusha kuna Idd Mkuluu na Rama Mkuluu mmoja wao ameshatangulia kwa changamoto za kupumua pamoja na kampani yao. Wametumiwa sana na Gambo na CCM kuumiza watu. Kuchoma watu visu lilikuwa jambo rahisi kwao kuliko hata kumenya chungwa.

CCM ilitengeneza laana ambayo tulikuwa tunakaribia kuishindwa kabisa kama Mungu asingeingilia kati.

Huyo sabaya akiwa uvccm Arusha alikuwa na kitanmbulisho feki cha usalama wa taifa. Badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo.

Makonda kampiga mzee Warioba badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo. Mnyeti hivyo hivyo.

Huyo sabaya anadaiwa madeni yakutumia vinywaji na kulala hotelini karibu kila hoteli Arusha na ukimdai anakutishia kukuumiza. Hatakiwi kuwa nje wala kuwa huru.
 
Sabaya ni duplica ya mwendazake ingawa huyu dogo amepitiliza kidogo ili kujinufaisha ...Hai padogo sasa uwanja mpana kucheza hizo siasa chafu alikosa akawa anavuka mopaka kwa nguvu zote kisingizio uhujumu na connection Mbowe maana aliwekwa kazi moja kuhakikisha Mbowe hapumui kamwe
 
Na Arusha kuna Idd Mkuluu na Rama Mkuluu mmoja wao ameshatangulia kwa changamoto za kupumua pamoja na kampani yao. Wametumiwa sana na Gambo na CCM kuumiza watu. Kuchoma watu visu lilikuwa jambo rahisi kwao kuliko hata kumenya chungwa.

CCM ilitengeneza laana ambayo tulikuwa tunakaribia kuishindwa kabisa kama Mungu asingeingilia kati.

Huyo sabaya akiwa uvccm Arusha alikuwa na kitanmbulisho feki cha usalama wa taifa. Badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo.

Makonda kampiga mzee Warioba badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo. Mnyeti hivyo hivyo.

Huyo sabaya anadaiwa madeni yakutumia vinywaji na kulala hotelini karibu kila hoteli Arusha na ukimdai anakutishia kukuumiza. Hatakiwi kuwa nje wala kuwa huru.
Hawa vijana walikuwa "kazini" jiulize, Mojaa anajulikana kabisa kuwa ni jambazi,ameshakuwa na kesi za mauaji pia,ni kiongozi wa uvccm,amejenga gorofa kwa kazi hiyo hiyo ya kukata watu mapanga na ujambazi,analipiwa ada ya mazoezi ya viungo pale Life gym uzunguni na ccm,wewe unataka kuniambia ungepewa wewe hiyo kazi ya 'usabaya' ungeikataa?
 
Na Arusha kuna Idd Mkuluu na Rama Mkuluu mmoja wao ameshatangulia kwa changamoto za kupumua pamoja na kampani yao. Wametumiwa sana na Gambo na CCM kuumiza watu. Kuchoma watu visu lilikuwa jambo rahisi kwao kuliko hata kumenya chungwa.

CCM ilitengeneza laana ambayo tulikuwa tunakaribia kuishindwa kabisa kama Mungu asingeingilia kati.

Huyo sabaya akiwa uvccm Arusha alikuwa na kitanmbulisho feki cha usalama wa taifa. Badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo.

Makonda kampiga mzee Warioba badala ya kuadhibiwa kapandishwa cheo. Mnyeti hivyo hivyo.

Huyo sabaya anadaiwa madeni yakutumia vinywaji na kulala hotelini karibu kila hoteli Arusha na ukimdai anakutishia kukuumiza. Hatakiwi kuwa nje wala kuwa huru.
Dhuluma ya ccm na mwendazke kisa tu hawataki upinzani Tanzania kwa namna yoyote ile.
 
Zile siasa za awamu ya 5 ulikuwa ni uwendawazimu wa hali ya juu. Uongozi ule ulikuwa ni uchafu na laana kwa Taifa.

Tumeliharibu Taifa kwa miaka 5. Lakini ninaamini Mungu alikuwa na makusudi yake kuruhusu utawala dhalimu wa kiasi kile uje na udumu kwa miaka 5. Ametukumbusha kuwa bila katiba nzuri, nini kinaweza kuwapata wananchi na Taifa.

Walaaniwe viongozi dhalimu wote, na Mungu aendelee kudhihirisha ukuu wake dhidi yao.

Enyi waovu tubuni, fanyeni toba iliyo kuu ili mpokee msamaha wa Mungu, au la ninyi na wana wenu ishini katika laana maisha yenu yote.
amina na Mungu asikilize mombi yetu
 
Vijana wengi hasa wasio na ajira waliingia CCM sio kwa kukipenda chama bali kutafuta ridhiki na ajira za upendeleo ndani ya chama na serikali, huku role models wao wakubwa wakiwa akina Makonda, Polepole, Hapi, Mwigulu, Gambo, Sabaya, Murro, Shaka, Musiba, Habibu na wengine wengi.

Mienendo na tabia ya uongozi wa vijana niliowataja ilijulikana wazi ambayo ilikuwa ubabe, jeuri, fitina, dhulma, utekaji, mauaji nk, walitumia mbinu hizi hasa kuwadhalilisha wapinzani, wakosoaji na wafanyabiashara, wakajiona wao ndio Tanzania na Tanzania ni wao, wakasahau kuwa aliyewapa madaraka na jeuri hizo hana garantii na Mungu.

Kipindi cha utawala wa Mwendazake ili uteuliwe sifa kuu mojawapo ilikuwa ubabe, roho mbaya, matusi, jeuri, ilifikia wakati mwana CCM au polisi akimvunja mguu mpinzani anapongezwa pengine kupandishwa cheo.

Vijana wengi wa CCM wakaanza kuiga matendo na vituko vya akina Sabaya & Co, siasa chafu ambazo uchafu wake hata waonyeshwe kwenye video wanajifanya hawauoni, wakaiga vituko hivi ili waonekane wawafurahishe wakubwa zao wateuliwe, leo wameanza kukata tamaa baada ya kuona Mama hana siasa hizo chafu.

Baada ya kugundua hilo wanachofanya sasa ni kuwatetea role models wao wanaotenguliwa ambao walikuwa wateule wa mwendazake (Bashiru, Polepole, Biswalo, Sabaya), wameanza kumlaumu Mama wakitumia ilani ya chama kama ngao yao kuwa mama anaonyesha kushindwa kuitekeleza, huku lengo kuu ni kutaka kumshinikiza mama aendeleze ubabe wa mtangulizi wake siasa ambazo walitegemea kuja kunufaika nazo.

CCM Mwacheni Mama afanye kazi msimshinikize zamu ya Mwendazake imekwisha. Kazi iendelee.
Njaa
 
Vijana wengi hasa wasio na ajira waliingia CCM sio kwa kukipenda chama bali kutafuta ridhiki na ajira za upendeleo ndani ya chama na serikali, huku role models wao wakubwa wakiwa akina Makonda, 😂Polepole 🤣 , Hapi, Mwigulu, Gambo, Sabaya, Murro, Shaka, Musiba, Habibu na wengine wengi.
 
Vijana wengi hasa wasio na ajira waliingia CCM sio kwa kukipenda chama bali kutafuta ridhiki na ajira za upendeleo ndani ya chama na serikali, huku role models wao wakubwa wakiwa akina Makonda, Polepole, Hapi, Mwigulu, Gambo, Sabaya, Murro, Shaka, Musiba, Habibu na wengine wengi.

Mienendo na tabia ya uongozi wa vijana niliowataja ilijulikana wazi ambayo ilikuwa ubabe, jeuri, fitina, dhulma, utekaji, mauaji nk, walitumia mbinu hizi hasa kuwadhalilisha wapinzani, wakosoaji na wafanyabiashara, wakajiona wao ndio Tanzania na Tanzania ni wao, wakasahau kuwa aliyewapa madaraka na jeuri hizo hana garantii na Mungu.

Kipindi cha utawala wa Mwendazake ili uteuliwe sifa kuu mojawapo ilikuwa ubabe, roho mbaya, matusi, jeuri, ilifikia wakati mwana CCM au polisi akimvunja mguu mpinzani anapongezwa pengine kupandishwa cheo.

Vijana wengi wa CCM wakaanza kuiga matendo na vituko vya akina Sabaya & Co, siasa chafu ambazo uchafu wake hata waonyeshwe kwenye video wanajifanya hawauoni, wakaiga vituko hivi ili waonekane wawafurahishe wakubwa zao wateuliwe, leo wameanza kukata tamaa baada ya kuona Mama hana siasa hizo chafu.

Baada ya kugundua hilo wanachofanya sasa ni kuwatetea role models wao wanaotenguliwa ambao walikuwa wateule wa mwendazake (Bashiru, Polepole, Biswalo, Sabaya), wameanza kumlaumu Mama wakitumia ilani ya chama kama ngao yao kuwa mama anaonyesha kushindwa kuitekeleza, huku lengo kuu ni kutaka kumshinikiza mama aendeleze ubabe wa mtangulizi wake siasa ambazo walitegemea kuja kunufaika nazo.

CCM Mwacheni Mama afanye kazi msimshinikize zamu ya Mwendazake imekwisha. Kazi iendelee.
Hao siyo vijana wa UVCCM bali ni vijana aliowanunua na anawalipa Sabaya mwenyewe kwa kupost.

UVCCM sasa hivi wanajipanga upya na CCM mpya, wanakwenda na upepo
 
Zile siasa za awamu ya 5 ulikuwa ni uwendawazimu wa hali ya juu. Uongozi ule ulikuwa ni uchafu na laana kwa Taifa.

Tumeliharibu Taifa kwa miaka 5. Lakini ninaamini Mungu alikuwa na makusudi yake kuruhusu utawala dhalimu wa kiasi kile uje na udumu kwa miaka 5. Ametukumbusha kuwa bila katiba nzuri, nini kinaweza kuwapata wananchi na Taifa.

Walaaniwe viongozi dhalimu wote, na Mungu aendelee kudhihirisha ukuu wake dhidi yao.

Enyi waovu tubuni, fanyeni toba iliyo kuu ili mpokee msamaha wa Mungu, au la ninyi na wana wenu ishini katika laana maisha yenu yote.
Mkuu Bams ulipotea sana, tumemiss madini yako. Nimefarijika kusoma post yako leo
 
Ccm ilishakufa inabebwa kwa nguvu ya dola hawana ushawishi wa hoja zaidi ya kumwaga damu zetu
 
Hao ni wachumia tumbo wasio na maadili. hawana hata chembe ya adabu...walikuwa wanaona raha kuwadhalilisha wazee hadharani. Wakae kwa kutulia chama kinarudi katika misingi yake ya utu na kuheshimiana.
Hawa vijana walioaminiwa ndio wamekivuruga chama na nchi kwa ujumla.
 
Hatuko salama hata sasa kwani kuna uwezekano mkubwa wa kurudi kwenye utawala wa aina ya mwendazake.

Imagine tuna watu kama mwigulu,dkmpango,Majaliwa ambao wana nafasi ya kuweza kugombea kupitia chama chao kama mazingira yakiwaruhusu,bila katiba mpya we are still fucked.
 
Si Wote.....

Binafsi simuungi mkono....

Siasa za KIHASAMA kupitiliza ni UPUMBAVU NA USHAMBA....
 
Back
Top Bottom