much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Mbona Kuna majitu kibao tu yameharibika na yamelele na baba na mama zao?Kuna wanaokuwa vizuri lakini tuwaangalie wale walioharibika
Husika na kichwa cha habari,
Katika wale vijana kuanzia miaka 15 ambao kimaadili wameharibika, ni kwanini wengi wamelelewa na single mothers?