BABA NDIYE MWENYE MISULI YA KUENGA UTU WA NDANI WA MTOTO, KAMA
NIDHAMU, MAADILI, UTII, HESHIMA,
WATOTO WALIO LELEWA NA BABA NI WEPESI KWENYE KUFANYA MAAMUZI NA UPEO WA KUFIRI (DECISION MAKING AND REASONING)
HATA KRISTO ALIZALIWA, NA KUISHI CHINI YA MALEZI YA BABA WA KIMWILI.
MALEZI YA MAMA NI MALEZI LEGEVU, NA HATA WATOTO WANAKUA LEGELEGE.
BABA ANAPIGWA VITA , LAKINI UWEPO WAKE NI MUHIMU KWA WATOTO.