Ni kama kudondoshea tone la nyongo kwenye kitoweoUnakuta kijana wa kiume yuko na wapenzi si chini ya wawili lakini haachi kujichukulia sheria mkononi (Kujichua)
Je, ni kwamba anakua haridhiki anapofanya ngono na mwanamke wake au mwanaume wake...
Hamna atakachosema zaid ya pinga ndoaNgoja afsa mwandamizi dronedrake alitolee ufafanuzi suala hili.
Ni kuokoa kibundaNi nature au kujiendekeza?
Najibu kama mmoja wa vijana.Unakuta kijana wa kiume yuko na wapenzi si chini ya wawili lakini haachi kujichukulia sheria mkononi (Kujichua)
Je, ni kwamba anakua haridhiki anapofanya ngono na mwanamke wake au mwanaume wake...
Hamna atakachosema zaid ya pinga ndoa
Unakuta kijana wa kiume yuko na wapenzi si chini ya wawili lakini haachi kujichukulia sheria mkononi (Kujichua)
Je, ni kwamba anakua haridhiki anapofanya ngono na mwanamke wake au mwanaume wake?
Sina uhakika sana kama watoto wa kike nao huwa wanajichua hata kama wana boyfriends ila hata kama wapo idadi yao inaweza kuwa sio kubwa sana kama ya watoto wa kiume.
Nini hasa kinasababisha hali hii?
Ni nature au kujiendekeza?
Umejuaje kama wewe sio miongoni mwao?Unakuta kijana wa kiume yuko na wapenzi si chini ya wawili lakini haachi kujichukulia sheria mkononi (Kujichua)
Je, ni kwamba anakua haridhiki anapofanya ngono na mwanamke wake au mwanaume wake?
Sina uhakika sana kama watoto wa kike nao huwa wanajichua hata kama wana boyfriends ila hata kama wapo idadi yao inaweza kuwa sio kubwa sana kama ya watoto wa kiume.
Nini hasa kinasababisha hali hii?
Ni nature au kujiendekeza?
🤣 🤣 🤣 acha kudanganya vijana wenzako sasa.Najibu kama mmoja wa vijana.
Vijana wapenzi tunao wapata awatupi penzi kwa wakati wengi ni wababaishaji ndio maana mtu anaamua kuchukuwa sheria mkononi
Tiba yao waoe oeni vijana mpate kuenjoy kuoa raha bhana[emoji39]
Hakuna kudanganya mnao pinga ndoa pingeni na nyinyi mnachokitaka ni kuwaacha vijana waendelee kuteswa na mahusiano ya kipuuzi[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] acha kudanganya vijana wenzako sasa.