Kwanini vijana wengi wenye umri (22-30) wanaoishi mkoani Mwanza ni washamba

Kwanini vijana wengi wenye umri (22-30) wanaoishi mkoani Mwanza ni washamba

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Nimekuwa nikifanya ishu Na harakati mbalimbali Na watu tofauti hasa vijana, lakini nimekuja kugundua vijana wengi wa mwanza wenye umri ( 22-30) ni washamba sana, waoga wa maisha yaani hawajiamini kabisa hasa unapompa Dili ngumu,

Wana tamaa sana hasa Na vijipesa vidogo vidogo, Na wakivipata hivyo vipesa huridhika Na kusahau kuna kesho....mfano juzi kuna dereva wa haice nilimpa mzigo aufikishe sehemu Na akiishauifikisha kuna kiasi cha pesa ambacho angepewa, nilimpa maelekezo kuwa kiasi kile cha pesa baadhi achukue kama ahsante, Na kingine kitakachobaki uniwekee kwenye namba yangu ya simu, cha ajabu baada ya kupewa kiasi kile cha pesa Na simu yangu akawa hupokei Na mwisho wa siku alinipiga tofari ( block).

Kuna mikasa mingi sana nimekuta nayo kuhusu vijana wa Mwanza Sasa nabaki najiuliza vijana wengi wana matatizo gani je? Ni ushamba, au wengi hawana tamaa ya mafanikio, yaani akiishapata 10000 ya kununua "unga wa ugali Na kipande cha sangara" wanaona wamemaliza Na kusahau kuna kesho
 
Sio mwanza tu ,,,, siku hizi hakunaga kitu kinachoitwa uaminifu hasa kwenye deals, biashara n.k !wewe umesota miaka kadhaa, kijana unamuamini Leo aanataka mpate kipato ama gawio sawa, au kijana kaanza kazi ana mwaka anataka afanane na wewe kwa kila kitu kimafanikio,,,,,







Impossible
 
Nimekuwa nikifanya ishu Na harakati mbalimbali Na watu tofauti hasa vijana, lakini nimekuja kugundua vijana wengi wa mwanza wenye umri ( 22-30) ni washamba sana, waoga wa maisha yaani hawajiamini kabisa hasa unapompa Dili ngumu, Wana tamaa sana hasa Na vijipesa vidogo vidogo, Na wakivipata hivyo vipesa huridhika Na kusahau kuna kesho....mfano juzi kuna dereva wa haice nilimpa mzigo aufikishe sehemu Na akiishauifikisha kuna kiasi cha pesa ambacho angepewa, nilimpa maelekezo kuwa kiasi kile cha pesa baadhi achukue kama ahsante, Na kingine kitakachobaki uniwekee kwenye namba yangu ya simu, cha ajabu baada ya kupewa kiasi kile cha pesa Na simu yangu akawa hupokei Na mwisho wa siku alinipiga tofari ( block).......kuna mikasa mingi sana nimekuta nayo kuhusu vijana wa mwanza Sasa nabaki najiuliza vijana wengi wana matatizo gani je? Ni ushamba, au wengi hawana tamaa ya mafanikio, yaani akiishapata 10000 ya kununua "unga wa ugali Na kipande cha sangara" wanaona wamemaliza Na kusahau kuna kesho
Kariakoo dar es salaam bodaboda wengi ni waaminifu Sanaa Sanaa..

Unamtuma deal kubwa anaifanya vizuri na anachukua buku5 yake easy TU.

Utakua Ulikutana na WASHASHI maana WASHASHI ni hatari SANAA wanao tokea mkoan Mara.
 
Nimekuwa nikifanya ishu Na harakati mbalimbali Na watu tofauti hasa vijana, lakini nimekuja kugundua vijana wengi wa mwanza wenye umri ( 22-30) ni washamba sana, waoga wa maisha yaani hawajiamini kabisa hasa unapompa Dili ngumu, Wana tamaa sana hasa Na vijipesa vidogo vidogo, Na wakivipata hivyo vipesa huridhika Na kusahau kuna kesho....mfano juzi kuna dereva wa haice nilimpa mzigo aufikishe sehemu Na akiishauifikisha kuna kiasi cha pesa ambacho angepewa, nilimpa maelekezo kuwa kiasi kile cha pesa baadhi achukue kama ahsante, Na kingine kitakachobaki uniwekee kwenye namba yangu ya simu, cha ajabu baada ya kupewa kiasi kile cha pesa Na simu yangu akawa hupokei Na mwisho wa siku alinipiga tofari ( block).......kuna mikasa mingi sana nimekuta nayo kuhusu vijana wa mwanza Sasa nabaki najiuliza vijana wengi wana matatizo gani je? Ni ushamba, au wengi hawana tamaa ya mafanikio, yaani akiishapata 10000 ya kununua "unga wa ugali Na kipande cha sangara" wanaona wamemaliza Na kusahau kuna kesho
Lugumi na Kishimba ni wa Mwanza ila walitoka kwasababu ya uaminifu wao ,waliaminiwa na wakubwa wakapewa deal wakatoboa...Kwenye msafara wa mamba haakosi Kenge.
 
Bro sema wewe ndo mshamba hapo. Wajanja wa Mwanza wamekutapeli unalia lia hapa. Ila pole sana Mkuu ndo maisha tena, samehe na angalia mbele.
Unahisi nikiamua kuwapotezea kwenye deal s zangu Mimi ndie nimepoteza au wao
 
Kariakoo dar es salaam bodaboda wengi ni waaminifu Sanaa Sanaa..

Unamtuma deal kubwa anaifanya vizuri na anachukua buku5 yake easy TU.

Utakua Ulikutana na WASHASHI maana WASHASHI ni hatari SANAA wanao tokea mkoan Mara.
Nimewahi kumtumia mtu laki nne Na nusu kariakoo kwa utambulisho wa codes za duka Na mtaa aliopo, nilihitaji friji ndogo Aina ya boss, kipindi hicho nilikuwa naishi Geita...friji lilifika Na likiwa Na Hali nzuri tu..
 
Back
Top Bottom